Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Nina milioni 10 nilizokusanya kwenye Ajira Ila sasa ningetamani kufanya shughuli zangu au biashara Na nipo mwanza. Naomba ushauri nini nifanye ili nijikwamue kimaisha. Asanteni
 
Kha! Kudunduliza mpaka ufikishe hiyo hela kunaonesha kwamba wewe ni mtu bahili sana. Nenda kwanza kapimwe mkojo, majibu yakitoka ndio urudi hapa na majibu yako tukupe ushauri wa biashara ya kufanya...
===============================================
Mkuu, kama hutaki presha fanya biashara ya kuuza bidhaa ambazo haziozi kama vifaa vya umeme, spea za magari, vilainishi, betri nk.
Kwa kuwa pesa siyo ya mkopo, hata ukipata elfu tano kwa siku bado ni pesa nyingi so haina haja ya kufanya biashara yenye risk kubwa...
 

Havina uhusiano
 
kamnunue diwani kanda ya kaskazini

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Nina milioni 10 nilizokusanya kwenye Ajira Ila sasa ningetamani kufanya shughuli zangu au biashara Na nipo mwanza. Naomba ushauri nini nifanye ili nijikwamue kimaisha. Asanteni
Njoo makoroboi nunua goli fanya biashara ya mabegi inalipa sana
FAIDA-begi moja unaweza pata kuanzia shiling 10000-25000, kodi pia hulipi utalipa ushuru na leseni hii itapunguza garama za uendeshaji ila ukifungua duka TRA mlangoni ushuru utakao kadiriwa utazimia
HASARA- hili eneo lipo na mgogoro na serikali mara fukuza rudi ila kwa magu hii ondoa shaka Ameruhusu machinga kifanya biashara makoroboi ila maeneo yanayo kubalika
Mwisho - adui mkubwa wa mfanyabiashara ni mfanyakazi wa TRA na si TRA yenyewe kwani hawa watu wakimikadiria kodi utazimia hivyo jaribu kufanya biashara kwenye masoko au magoli kwani utawaepuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za kwako kwa ushauri wa wangu kwa ssa vyuma vimekaza cyo ndani ya ajira au nje 'biashara' hivyo basi kuna maswali unatakiwa ujiulize je?unauzoefu wa biashara yoyote ?,pili je ndo mwanzo wako wakutaka kuingia ktk wigo huu ?tatu,shughuri yako haitakuathiri ukichanganya na biashara,nne,unaye mfikilia kama msimamizi ktk biashara yako imani yako na yeye ikoje angalizo ata utakaye muweka mazoea yasiwepo ya kukujua wwe vizuri ni mara mia ukamuweka mtu mwingine kuliko ndugu nautakaye muweka ambaye cyo ndugu fata taratibu za kiserikali atambulike ata akiondoka na mzigo wako unajua wapi pakuanzia,tano,watu wengi wanatafuta pesa wanapata na wanakuwa na plan za kuongeza kipato wanahishia kufaidisha walio wakabidhi 'epuka sna hilo' sita,shikilia ndoto yako unapotaka kufika.kwa leo niishie hapa kwa mengi zaidi watakuja wataalam hapa

Sent from my HTC Desire 516 dual sim using JamiiForums mobile app
 
Niko singida hao ng'ombe wanapatikana wapi?
 
Tatizo la hili ni kuwa Tshs. 10m sidhani kama inatosha kuanzisha biashara yoyote bongo ambayo revenue yake inaweza kukamatika ( as in you can feel it).
Mkuu utakuwa si mjasiriamali, hizo hela ni nyingi sana kwenye baadhi ya biashara na bado ikakupa faida ambayo sijaona hata mmoja akiandika. Nina uhakika 10m ina uwezo wa kunilipa 1.5-2m monthly, tatizo lenu watu mliozoea kuajiriwa munafikiri ukianza biashara basi uwe na 20m, iyo itakusumbua anza chini ukomae na changamoto wakati wa kukuza mtaji, baada ya hapo utakuwa experienced enough, mm ni mwajiriwa na mjasiriamali najua mazingira ya kupa 2m from 10m monthly, simwagi hadharani ili tusumbuane mtaani au uharibu hela yako kwa kushindwa kuchagua site, ukihitaji msaada nitafute binafsi, nitakuita ktk ofisi zangu uone record za capital zangu zen mazingira ya site, baadae nitakytuma ukatafute site sawa ile, na utaona maendeleo,
 
Ningependa wana jammi forum mnisaidie juu ya mawazo wa kitu ambacho naeza anzisha kwa million5 na kupata faida zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…