Asante kwa ushauri mzuri kumbe hata kazi unataka [emoji3][emoji3]Milion 10 kamtaji?[emoji30][emoji30] wew ...!! Kma ulipta pesa za ulithi sawa ila kma kuna shughul imefanya upate hiyo pesa komaa nayo ila kama not basi fanya utafiti wa biashara unayopenda kufnya na usiwekeze zote hzo pesa weka hta mil 2 kwanza then upate mrejesho utakuaje .
Nb: ukitaka mfanykaz niko hpa nitafnya kwa moyo [emoji126][emoji126][emoji126].
Asante kwa ushauri mzuri mkuuFanya utafiti mazingira unayoishi, angalia uhitaji wa wakazi wa hapo au chagua biashara iliyopo unayodhani itakulipo then ifanye kwa ubora zaidi. Achana na wanaokuuliza umetoa wap hiyo pesa je kama ulikua mwizi na unataka kufanya legal business, puuza hao wala usiwajibu.
Anhaa emb tawanya hiyo hela weka biashar 3 za mitaj tofaut 1(mil 2) nyingine 2 (mil 2.5) hapo umetumia 7mil. Unaish kwako au umepanga?Nipo mwanza mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepanga mkuuAnhaa emb tawanya hiyo hela weka biashar 3 za mitaj tofaut 1(mil 2) nyingine 2 (mil 2.5) hapo umetumia 7mil. Unaish kwako au umepanga?
Mmeamkaje wakuu?
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimebahatika kupata kamtaji kidogo Milioni 10. Naombeni mawazo yenu nifanye biashara gani ambayo inaweza kukuza mtaji wangu, umri wangu miaka 26 sina mke, karibu wakuu kwani ushauri wenu ndio mafanikio yangu.
Asante.
Naunga mkono.Nunua bodaboda 4
Boxer BM150 toleo jipya 2,400,000/=
x4 = 9,600,000/=
10M - 9.6M unabakiwa na 400k kwa ajili ya bima, sumatra usajili and everything
Kabidhi vijana wanne kila mmoja atakupa hesabu ya 10,000/= kwa siku
10,000 x 4 = 40,000
kwa week utaingiza 280,000
kwa mwezi 1,200,000
baada ya miezi 6 unaongeza bodaboda nyingine 3 zinakuwa 6
therefore kwa mwezi utakuwa unaingiza tsh. 1,800,000/= huo mshahara hata mbunge hakufikii, na ni stress free, umelala pesa inaingia tuu!
All the best, akili za kushauriwa changanya na za kwako...
Shukrani mkuuNunua bodaboda 4
Boxer BM150 toleo jipya 2,400,000/=
x4 = 9,600,000/=
10M - 9.6M unabakiwa na 400k kwa ajili ya bima, sumatra usajili and everything
Kabidhi vijana wanne kila mmoja atakupa hesabu ya 10,000/= kwa siku
10,000 x 4 = 40,000
kwa week utaingiza 280,000
kwa mwezi 1,200,000
baada ya miezi 6 unaongeza bodaboda nyingine 3 zinakuwa 6
therefore kwa mwezi utakuwa unaingiza tsh. 1,800,000/= huo mshahara hata mbunge hakufikii, na ni stress free, umelala pesa inaingia tuu!
All the best, akili za kushauriwa changanya na za kwako...
Asante sana mkuu hata Mimi kwenye hardware nilikuwa nafikiriaMimi ni muumini wa uwekezaji wa muda mrefu, kwa mfano ungeenda iringa njombe ukanunua shamba la miti ukapanda kisha ukafanya mambo mengine. Kwa miaka 15 ijayo naamini utakua unazungumza lugha nyingine.
Au biashara ya mbao haswa mbao ngumu. Huwa hazishuki thamani kamwe, ila utafiti juu ya biashara hii ni muhimu na taratibu zote vibali nk.
Hardware nayo inalipa sana nayo pia inahitaji utafiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa mwezi si 1120000 mkuu au mahesabu yangu cjayapatia 280000×4 weekNunua bodaboda 4
Boxer BM150 toleo jipya 2,400,000/=
x4 = 9,600,000/=
10M - 9.6M unabakiwa na 400k kwa ajili ya bima, sumatra usajili and everything
Kabidhi vijana wanne kila mmoja atakupa hesabu ya 10,000/= kwa siku
10,000 x 4 = 40,000
kwa week utaingiza 280,000
kwa mwezi 1,200,000
baada ya miezi 6 unaongeza bodaboda nyingine 3 zinakuwa 6
therefore kwa mwezi utakuwa unaingiza tsh. 1,800,000/= huo mshahara hata mbunge hakufikii, na ni stress free, umelala pesa inaingia tuu!
All the best, akili za kushauriwa changanya na za kwako...
Mwezi mmoja una siku 30kwa mwezi si 1120000 mkuu au mahesabu yangu cjayapatia 280000×4 week