Nunua bodaboda 4
Boxer BM150 toleo jipya 2,400,000/=
x4 = 9,600,000/=
10M - 9.6M unabakiwa na 400k kwa ajili ya bima, sumatra usajili and everything
Kabidhi vijana wanne kila mmoja atakupa hesabu ya 10,000/= kwa siku
10,000 x 4 = 40,000
kwa week utaingiza 280,000
kwa mwezi 1,200,000
baada ya miezi 6 unaongeza bodaboda nyingine 3 zinakuwa 6
therefore kwa mwezi utakuwa unaingiza tsh. 1,800,000/= huo mshahara hata mbunge hakufikii, na ni stress free, umelala pesa inaingia tuu!
All the best, akili za kushauriwa changanya na za kwako...