Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kimbembe kuwapata hao vijana waaminifu

Ni kweli hapa ndio wengi tunapojiuliza maswali mengi tunapata wapii vijana maana vijana wapo wengi sana kitaa na wanahitaji PIKIPIKI wapige kazi.

Kuna mtu alinishauri tu kwamba usimpe PIKIPIKI kijana ambaye Hana income nyingne, yaani mtu unayempa awe na PIKIPIKI yake nyingine inayofanya kazi barabaranii.

Ukimpa kijana aliyepo tu kitaa Hana kazi nyingne inamaanisha atakuwa anategemea hyohyo PIKIPIKI impe Hela ya kula.

So ni vyema kumpa PIKIPIKI MPYA ya MKATABA mtu mwenye Pikipiki yake nyingine au kazi nyingne inayompa kipato Cha ziada.
 
Ni kweli hapa ndio wengi tunapojiuliza maswali mengi tunapata wapii vijana maana vijana wapo wengi sana kitaa na wanahitaji PIKIPIKI wapige kazi.

Kuna mtu alinishauri tu kwamba usimpe PIKIPIKI kijana ambaye Hana income nyingne, yaani mtu unayempa awe na PIKIPIKI yake nyingine inayofanya kazi barabaranii.

Ukimpa kijana aliyepo tu kitaa Hana kazi nyingne inamaanisha atakuwa anategemea hyohyo PIKIPIKI impe Hela ya kula.

So ni vyema kumpa PIKIPIKI MPYA ya MKATABA mtu mwenye Pikipiki yake nyingine au kazi nyingne inayompa kipato Cha ziada.
Mtu anayemiliki pikipiki yake atakubalije umpe pikipiki ya mkataba wewe, haina uhalisia hiyo
 
Mtu anayemiliki pikipiki yake atakubalije umpe pikipiki ya mkataba wewe, haina uhalisia hiyo

Duh hiyo ni concept ndogo sana bro!!

Just imagine kijana amemaliza mkataba wake WA Pikipiki, anaichukua hiyo Pikipiki yake anampa mtu mwingine awe anamletea hesabu ya kila siku 7,000/=. Then yeye anachukua Pikipiki nyingine mpya ya MKATABA Kwa mtu Kwa hesabu ya kurudisha 10,000/= Kwa siku.

So inamaanisha hapa mtu anakuwa na PIKIPIKI mbili (2), ya kwake inafanya kazi anapata elfu7 kila siku na Bado Pikipiki ni Mali yake na Pikipiki mpya aliyofunga mkataba inafanya kazi barabaranii Ili baada ya mwaka kuisha (mkataba kuisha) anakuwa na PIKIPIKI mbili kama Mali zake.

Pikipiki ya kwanza inampa 7,000/= per day na Pikipiki ya mkataba anatafuta 3,000/= Kwa siku. Then jioni anapeleka Kwa Boss 10,000/= hesabu ya siku na Hela iliyozidi mfukoni mwake ni Hela yake ya kujikimu. [emoji120]
 
Mtu anayemiliki pikipiki yake atakubalije umpe pikipiki ya mkataba wewe, haina uhalisia hiyo
Kuna vijana kitaa Wana zaidi ya Pikipiki 3 mpaka 4 na kuzidi hapo na wanafanya Kwa style hii hii, yaani akimaliza tu MKATABA anaomba afungiwe Pikipiki nyingine mpya aanze nayo mkataba wa miezi 11 mpka 12 inategemea na Boss maelewano yenu.

Then Ile/zile Pikipiki za mwanzo anawapa vijana wengine wanampelekea hesabu za siku 7,000/= so unakuta Kuna Kijana mmoja ana Pikipiki 3 (Pikipiki 3 Mali zake ukiacha Pikipiki yake mpya ya MKATABA).

Kwa Pikipiki 3 Hapo inamaanisha anakusanya 21,000/= per day kwenye Pikipiki zake zote na 10,000/= tu anapeleka Kwa Boss na iliyobaki 11,000/= ni Hela yake ya kujikimu + Hela aliyopata kwenye Pikipiki yake mpya ya MKATABA Kwa hiyo siku.
 
Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30,000 kwa siku, ushauri wenu ni muhimu sana, asanteni sana.
Njoo tuitrade ntakupa 200% ROI kwa mwezi,looks too good to b true but it is good.
 
Ni kweli hapa ndio wengi tunapojiuliza maswali mengi tunapata wapii vijana maana vijana wapo wengi sana kitaa na wanahitaji PIKIPIKI wapige kazi.

Kuna mtu alinishauri tu kwamba usimpe PIKIPIKI kijana ambaye Hana income nyingne, yaani mtu unayempa awe na PIKIPIKI yake nyingine inayofanya kazi barabaranii.

Ukimpa kijana aliyepo tu kitaa Hana kazi nyingne inamaanisha atakuwa anategemea hyohyo PIKIPIKI impe Hela ya kula.

So ni vyema kumpa PIKIPIKI MPYA ya MKATABA mtu mwenye Pikipiki yake nyingine au kazi nyingne inayompa kipato Cha ziada.

Point to note ‘mpe mtu ambaye ana source ya income nyingne “
Yaah hii imekaaa vzr Mnooo
Kwanza tayal ana experience na kaz yake

Pili huyo c mbabaifu kwa kias kikubwa inaonesha atakuwa na nidham ya Pesa


M niliambiwa ukitaka kumpatia boda mtu tena ya mkataba n vyema yule mwenye familia
Na c Hawa ambao hawana famly

Hii yote. Kupunguza risk hasa wakat wamalejesho na kumpata mwamnifu
 
Kuna vijana kitaa Wana zaidi ya Pikipiki 3 mpaka 4 na kuzidi hapo na wanafanya Kwa style hii hii, yaani akimaliza tu MKATABA anaomba afungiwe Pikipiki nyingine mpya aanze nayo mkataba wa miezi 11 mpka 12 inategemea na Boss maelewano yenu.

Then Ile/zile Pikipiki za mwanzo anawapa vijana wengine wanampelekea hesabu za siku 7,000/= so unakuta Kuna Kijana mmoja ana Pikipiki 3 (Pikipiki 3 Mali zake ukiacha Pikipiki yake mpya ya MKATABA).

Kwa Pikipiki 3 Hapo inamaanisha anakusanya 21,000/= per day kwenye Pikipiki zake zote na 10,000/= tu anapeleka Kwa Boss na iliyobaki 11,000/= ni Hela yake ya kujikimu + Hela aliyopata kwenye Pikipiki yake mpya ya MKATABA Kwa hiyo siku.
Mkataba wa mwaka mmoja..kwa Boda ya
... Unapata faida kiasi gani?!

Kwamba unanunua Boda nyengine naa..Kuna Cha ziada unapata?
 
Mkataba wa mwaka mmoja..kwa Boda ya
... Unapata faida kiasi gani?!

Kwamba unanunua Boda nyengine naa..Kuna Cha ziada unapata?
Sijaelewa unazungumzia nini, maelezo hayajitoshelezi.

Ukiwa na Pikipiki Moja ya MKATABA hauwezi kuona faida yake, uzuri Wa biashara ya Pikipiki za MKATABA ni uwe na Pikipiki nyingi hata zaidi ya 5 ndio Utaona Faida yake lakini bila hivyo utajiumiza tu.
 
Kwa uelewa wangu kutokana na maelezo na elimu watooayo hapo UTT AMISS, mimi nimeweka 10M/= na nitakuwa na pata kila mwezi 1.23% ya hiyo pesa kwenye Akaunti yangu, ni kama vile KA- PENSION ka namna fulani hivi! Sasa wewe ukiweka 100m/= utapata 1.23% ya hiyo pesa kama 1,230,000/= kwa mwezi au ukitaka unaweza kuipata kwa miezi sita; yaani kuna option mbili - ya mwezi mmoja au miezi sita tu. Karibu.
Mkuu usalama wa mfuko uko sio km mambo ya Qnet
 
Mkuu usalama wa mfuko uko sio km mambo ya Qnet
Tatizo la UTT AMISS ni kuwa watu wengi hawawafahamu ILA HII NI TAASISI YA SERIKALI CHINI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO! Hivyo U - Qnet hakuna. In fact mimi niliweka kwenye huo mfuko 10m/= tarehe 09/05/2022 na mpaka jana (09/06/2022) Akaunti yangu ilikuwa inasoma Shs.112,945.28 juu ya mtaji wangu na hiyo pesa wataniwekea kwenye Akaunti yangu kwenye Benki yangu wakati wowote! Nashauri watu wawatembelee pale SUKARI HOUSE, Dar-es-Salaam.
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana mpambanaji, katika kupambana kwangu huku na kule Mungu si Athuman nimepata Millioni 10. Nimekuja kwenu nikihitaji ushauri. Ni biashara gani nifanye kwa mtaji wa Milioni 10 au chini ya hapo itakayonipa faida ya 20% - 40% kwa mwezi.

Katika ushauri wako naomba uniambie aina ya biashara, wapi inafanyika, soko lake, changamoto, faida inapatikanaje, ni biashara ya msimu au sio ya msimu.

NOTE:
Naombeni ushauri tafadhali na endapo nikivutiwa na kupendezwa na ushauri sitakuacha hivi hivi
 
Nimerudi

Wewe uko wapi kwa sasa? Na biashara ya kufanya mfano kutoa bidhaa nchi jirani na kuleta huku utaweza kuimudu?.

Uganda kuna kadeti na mashuka na pia unaweza kutoka huku na mchele kutoka kahama na ukapeleka uganda si lazima uchukue mwingi ila unachukua kiasi kwa ajili ya kukuza mtaji, mfano unachukua mchele wa 3 milioni halafu utakavyouza huko pesa hiyo hiyo unafanya kununua hayo mahitaji uliyoyafata.

Biashara ya kadeti ni kwa huku Dar ndio naona itafaa au kama kuna fursa kwa dodoma pia sio mbaya
 
Back
Top Bottom