Hii kitu hakiwaathiri mashabiki peke yao.Kina maambukizi mengi katika jamii.Majirani hawalali kwa raha.Zinakuja sauti za kushtukizia watu wanashangilia goli.Kibaya zaidi wakati mwengine tuko katikati ya swala watu nyumba ya jirani wanachanganya sauti zao na za kisomo cha Imamu.Kipi kitaondosha ghadhabu za Mwenyezi Mungu hapo.Usinifokee, mtu Kama hakuombi msaada wako ya Nini kujisumbua na maisha Yake.Acha kila mtu aishi maisha Yake
Goli la mamaCcm inahakikisha inatawala milele, mwenyekiti wake anagawa pesa kwa kila ushindi!
Hicho ndicho anapaswa kuelewa na ndio mfumo wa maisha ulivyo
Acha ulofa wewe wengine sisi mpira umebadilisha maisha yetu na tunapesa sababu ya betting Sasa wewe umekaa hapa kiboya unaongelea mchezo unaotuingizia pesa duniani acha ujinga fata mambo Yako mpira ni Kwa sisi wanaume ukiona mtu anapinga mpira ujue shoga au demuHii kitu hakiwaathiri mashabiki peke yao.Kina maambukizi mengi katika jamii.Majirani hawalali kwa raha.Zinakuja sauti za kushtukizia watu wanashangilia goli.Kibaya zaidi wakati mwengine tuko katikati ya swala watu nyumba ya jirani wanachanganya sauti zao na za kisomo cha Imamu.Kipi kitaondosha ghadhabu za Mwenyezi Mungu hapo.
Tofauti ni ndogo kubeti Uingereza itamfunga Ukrain na tapeli ataingia motoni akiondoka Duniani.....Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Wanaume wanaoshangilia wanaume wenzao ni rahisi sana kuwa mashoga.Siku akipapaswa na yule anayemshangilia basi atacheka cheka na akisogelewa zaidi anajilegeza.Mwanamme umevaa vizuri huwezi kushangilia wachezaji wanaume wenzako na ukasalimika.Acha ulofa wewe wengine sisi mpira umebadilisha maisha yetu na tunapesa sababu ya betting Sasa wewe umekaa hapa kiboya unaongelea mchezo unaotuingizia pesa duniani acha ujinga fata mambo Yako mpira ni Kwa sisi wanaume ukiona mtu anapinga mpira ujue shoga au demu
Wanaume wanaoshangilia wanaume wenzao ni rahisi sana kuwa mashoga.Siku akipapaswa na yule anayemshangilia basi atacheka cheka na akisogelewa zaidi anajilegeza.Mwanamme umevaa vizuri huwezi kushangilia wachezaji wanaume wenzako na ukasalimika.
Angalia sana huyu rafiki yako
View attachment 2744205mashoga ni kawaida yenu mkikosa soko mnashibokea wanaume Sasa wewe mpira hushabikii unawashwa nini bwege wewe fata maisha Yako choko wewe Kila mtu ataondoka kivyake duniani boya wewe
Fuatilia redio na televisheni nyingi.Wape chakula na michezo mingi sana watasahau mapinduzi. Huu ni usemi maarufu wa mwana falsafa na mshairi wa kiroma karne ya kwanza aitwaye Juvenal. Binadamu wa zama hizi hawana akili na wapo bize na michezo, miziki na habari za kuvuma.
Hii ni mbinu maarufu ya serikali kutawala watu wajinga. Kila siku kuna mechi kila siku redioni ni matangazo ya michezo. Kumbuka ya kwamba kwa mara ya kwanza.
Anguko la kizazi hiki ni michezo na starehe.
Muandishi na mshairi maarufu wa zama za Warumi, Juvenal, katika kitabu chake Satire. (Kejeli), aliandika kwamba, mtawala ukitaka kuwatawala watu wengi wa kawaida, wape vitu viwili, mkate (chakula cha chini kabisa cha Warumi) na michezo.
Bread and circuses.
Ndicho kinachotokea.
Ila msiwanyanyapae watu kwa kupenda wanachopenda.
Ni haki yao ya kikatiba.
Si lazima kila mtu awe tajiri na msomi.
Tumia fursa hiyo kujiongeza wewe binafsi.
....Ndio maana Bandari inaondoka hawana habari !Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Mimi huwanafuatilia kombe la Dunia tu.Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
If you keep them busy with basic needs they will forget the freedom they lost.
Mwafrika mwekee starehe zote pombe, wanawake, na michezo
Hata madini utachimba bure.
Maskini wewe,unafikiri Kila mtu kapuku kama wewe,Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Mechi inachezwa dakika 95 tu ila uchambuzi wake ni wiki nzima, sijui hata huwa wanachambua nini.Fuatilia redio na televisheni nyingi.
Kwenye vipindi vya michezo na hasa mpira wa miguu ambapo wanatumia muda mwingi kwenye uchambuzi.
Fuatilia muda unaotumika kwenye kilimo, biashara na ujasiriamali.
Niliwahi kukosa huduma dukani sababu muuzaji anaangalia Mpira na hataki kunyanyuka kwenye kitiUnakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Bhana, hii shida iko nchini hapa kiasi hua sielewi, hapa sasa hv nimechomoka kanisani, nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa lakini story zote ni mpira tu, kila kona ya nchi ni mpira tu, na hawana wanancho ingiza kwa kuongelea mpiraUnakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Hapo kwenye ving'amuzi sasa, kuna mmoja katuona mapoyoyo kabisa kutwa kupandisha bei ya hayo makitu yake et tu kwa sababu anaonyesha ligi ya wale mahasimu wachawi wawili wanaopokezana kikombeWenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu
Daah Mad max tupo pamoja na Brazil upo huyo tura anaamini muda wote ni kujenga na kulima tuu hajui kuwa pana muda unaitafuta Spaniola kuangalia Derby ya Barcelona vs Madrid maisha yanaenda tuu...Karibu Yanga
Karibu Arsenal