Mchambuzi mmoja ana maneno kama cherehani.Akimaliza timu hii anaunganisha na ile ya ulaya.Majina ya wachezaji wa ulimwengu mzima na magoli wanayofunga na pahala walipofunga vinatiririka kama maji.Nakumbuka kama alipata kifo cha ghafla na mashabiki sijui hata kama walikumbuka kwenda kumzika.Akaisihia hapo hapo.Mechi inachezwa dakika 95 tu ila uchambuzi wake ni wiki nzima, sijui hata huwa wanachambua nini.
Wanasiasa hasa CCM nao hupita humohumo kutupumbaza huku wakiuza bandari na wanataka wetuHiyo ndio frusa ya kupigia fedha kwa wenye akili but ,by the way bora hivyo sababu inaleta umoja wa kitaifa,regardless our social,political and religion affiliation watanzania kuna kitu kina waunganisha ,kuliko baadhi ya nchi watu hawali chungu kimoja sababu ya ukabila,udini ,rangi
Tawilee, wachezaji wenyewe wanavuta pesa mingi hawarudishi kwa jamii wanatajirika makwao tu, wabinasfi Sana.Me sio mpenzi wa mpira ila nakumbuka kipindi Cha nyuma mpira ulikuwa Mara Moja Moja siku hizi mpira naona Ni mar kwa Mara mfano juzi kumbe kulikuwa na mpira Jana nafika job ndo nasikia watu wanazungumzia sijui tumepita hatua flani kumbe timu ya taifa imefuzu hatua flani
Na hii mipira naona imewekwa kutusahaulisha mambo ya Ovyo yanayofanywa na CCM
Haiwezekani Kuna shule wanakaa chini madaraja hakuna hospital madawa hakuna afu watu wanacheza mpira unawapa 10milion per goal kwani hawana mishahara?
Acha utoto, mwanadamu ameumbwa ili afanye kazi, apumzike na apate burudani. Kama wewe soka kwako siyo burudani waache wenye kulipenda waburudikeAisee inafikirisha Sana
Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Kwaiyo kuangalia wanyama na binadam wenzako wewe unaona Bora ukaangalie wanyama kwa akili hizo uweza kuwa na ubongo wa wanyamaMwanafalsafa mzuri. Vyote ulivyovitaja kama mfanano na mpira bado havilanganiki na mpira.Ukifanya ngono kwa mke wako ni halali na huenda mkapata mtoto.Ukienda kuangalia wanyama unaburudika na kupata mazingatio na kunoa akili yako.Pesa uliyotoa huko inalipa kabisa
Sasa niambie unapoingia uwanjani kuangalia vijana waliochonga viduku na kusuka nywele unapata nini ?
Duniani kuna starehe mbalimbali, ipo ya wewe kuponda wenzako kisa waona hawashabikii, hawaamini, hawapendi ukitakacho wewe!Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunichekiUnakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Alikili yako imetawaliwa na ushoga inaonekana ushafanyiwa ukatili unaohisiana na ushoga omba mungu Hilo pepo likutokeBinadamau wenzako unaoangalia tena wanaume wenzako. ni dalili za ushoga
Nipe mifano ya watu 10 unaowafahamu ambao walifilisika kwa kulipia visimbuzi, na 20 waliofilisika kwasababu ya kushabikia mpira.Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Another interesting observation: Azam wamefanikiwa kudhoofisha kama si kuua influence ya premier league bongo kupitia udhamini na matangazo ya live Tv.Aisee inafikirisha Sana
Ni jana tu nlikuwa namwambia mtu...wakati sisi tumeshughulishwa na mipira, wenye mipira yao wanatengeneza hela tu!Unakutana na kikundi cha watu wameshughulika kuzungumza.Unadhani wanapanga mipango ya maana ya kiuchumi kumbe ni mpira wa jana au utakaochezwa leo.
Zamani ilikuwa ni ligi kuu mwaka mara moja na timu maarufu Tanzania ni Simba na Yanga.Sasa hivi ni ligi tu kila siku. Mara ligi ya benki, mara ligi ya nani. Ushabiki haupo wa timu kubwa peke yake bali hata timu za vichochoroni zinawashughulisha watu nchi nzima.
Wenzenu wanatia pesa mfukoni kwa kuuza ving'amuzi,nyinyi mnaliwa tu na kupiga makele.
Mwisho wa yote ni kuharibikiwa afya na kubaki maskini omba omba au kujiingiza kwenye utapeli.Ukiondoka duniani hutakuwa na majibu mazuri kwa Mola wako na moto utauingia.
Wakati wanafanya hayo mapinduzi hakukuwa na ujinga huu wa akina premier league, la liga na maujinga mengine. Kwa sasa wanakula matunda ya wazee wao na ndiyo sababu wanapata muda wa starehe kama za mipira.Huko kwenye mapinduzi ya kiuchumi,sayansi na vingine ndiko kuliko na michezo mingi