Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Tatizo la Facebook unalileta Jamiiforums?Hizo ni shida zako wala si shida zetu, baki na dharau zako wacha sisi tubaki na facebook yet.
Kutotumia kwako facebook sisi haitusaidii chochote
Ndio maana siku hizi mada za kijinga haziishi humu Jamiiforums kumbe tumevamiwa na watumiaji wa fesibuku.