Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo jemaKampuni ya Tigo yabadili jina kuwa Yas Tanzania mabadiliko hayo yametangazwa Leo Kupitia mkutano wa Leo ulikuwepo live Instagram ya Tigo Tanzania na Kuhudhuriwa na Waziri wa habari Jerry Silaa.
Vipi leo, tunatoka?Lissu yukoo naooo na hiooo yas yes yos
nadhani ni katika harakati za kujibrand upya na kivingine,Kampuni ya Tigo yabadili jina kuwa Yas Tanzania mabadiliko hayo yametangazwa Leo Kupitia mkutano wa Leo ulikuwepo live Instagram ya Tigo Tanzania na Kuhudhuriwa na Waziri wa habari Jerry Silaa.

Pigia mstari.. wana enjoy Tax haven.Niliwahi kusikia kwamba makampuni kubadili majina mara nyingi kunatokana na ukwepaji wa kodi, hivi ni kweli?
Utayalipa tu mkuuMadeni wanayotudai inakuwaje?
Noma za udukuziTigo wamebadili jina kwa Mara ya nne
Kutoka bazi ni bomba mpaka kuwa kuwa YAS
Je wataalamu wa Sheria hii Ina maana gani?
Kuna Siri gani juu ya kubadili majina haya?
Je uwa wanakwepa Nini jina limeshakuwa popular kwa watu na wanaobadilisha na kuleta jina jipya!!