Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kiongoziVigezo na masharti kuzingatiwa.. sijakopa kwa tigo mimi
Mimi nimefrahi io yas inanifanya nimkumbuke hYASinta wanguNi Yas au Nyashi. Wanyooshe maelezo. Wamepiga mulemule
Nipo safari naona mzigo unasoma yas nikajua labda ni mnara wa zambiaKampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.
View attachment 3162159
YaahNiliwahi kusikia kwamba makampuni kubadili majina mara nyingi kunatokana na ukwepaji wa kodi, hivi ni kweli?