Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

Mtandao wa tiGO wabadili jina, sasa kuitwa YAS

Nikajua ni mtandao wa zambia
 

Attachments

  • ECBF5ED5-F68C-468E-84AE-363E73079122.png
    ECBF5ED5-F68C-468E-84AE-363E73079122.png
    2.4 MB · Views: 2
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia leo. Mabadiliko haya yametangazwa mchana huu jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.

Taarifa zaidi zitaendelea kufuatia.

View attachment 3162159
Kesi ya Lisu ipo palepale
 
Back
Top Bottom