Mtandao wa vodacom una shida au

Mtandao wa vodacom una shida au

Bado sana kwa watanzania wengi. Tumia M pesa App kufanya miamala. Hata meneja wa bar Hana m pesa App wakati ukienda nchi zingine bado unaweza kufanya miala ya m pesa au tigo pesa kwa kutumia App. Shida kubwa
 
Bado sana kwa watanzania wengi. Tumia M pesa App kufanya miamala. Hata meneja wa bar Hana m pesa App wakati ukienda nchi zingine bado unaweza kufanya miala ya m pesa au tigo pesa kwa kutumia App. Shida kubwa
Shida sio m-pesa app issue ni mtandao.. what if natoa kupitia m-pesa app je wakala ataona?
 
Ubunifu wa Rostam Azizi. anaona mnataka kuukimbia mtandao wa Tigo kwasababu ya Lissu. Kwakuwa mitandao yote ni ya kwake anafanya hivyo makusudi ili muone na Voda nako ni kimeo mbali huko huko tigo
Hadi sasa sina network ya voda
 
Back
Top Bottom