Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Oct 30, 2024 #41 Nice
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Oct 30, 2024 #42 RWANDES said: Mnamo mwezi Februari, akaunti za Facebook na Instagram za Ayatullah Khamenei ziliondolewa na Meta, kampuni ya Kimarekani inayoendesha na kumiliki mitandao hiyo mawili. Click to expand... Ukisikia kunya unapolima ndio hivi. Unajua unatumia mitandao yao then unataka utukane kupitia hiyo hiyo?
RWANDES said: Mnamo mwezi Februari, akaunti za Facebook na Instagram za Ayatullah Khamenei ziliondolewa na Meta, kampuni ya Kimarekani inayoendesha na kumiliki mitandao hiyo mawili. Click to expand... Ukisikia kunya unapolima ndio hivi. Unajua unatumia mitandao yao then unataka utukane kupitia hiyo hiyo?
njumu za kosovo JF-Expert Member Joined Mar 9, 2017 Posts 3,820 Reaction score 9,625 Oct 30, 2024 #43 Ayatollah afungue mtandao wake asitumie mitandao ya makafir mana ni yale yale nyama ndo haramu mchuzi tunakunywa
Ayatollah afungue mtandao wake asitumie mitandao ya makafir mana ni yale yale nyama ndo haramu mchuzi tunakunywa
B baba-mwajuma JF-Expert Member Joined Feb 1, 2014 Posts 4,178 Reaction score 7,591 Oct 30, 2024 #44 Missile of the Nation said: Sasa kwani hujui kuwa Saudia na Yahudi damdam? Click to expand... Najua, nimemjibu tu huyo jamaa anaesema Waisilamu wanaenda mtandao wa makafiri Twitter, hali ya kuwa miaka na miaka kuna owner wa kiisilamu wengi
Missile of the Nation said: Sasa kwani hujui kuwa Saudia na Yahudi damdam? Click to expand... Najua, nimemjibu tu huyo jamaa anaesema Waisilamu wanaenda mtandao wa makafiri Twitter, hali ya kuwa miaka na miaka kuna owner wa kiisilamu wengi