Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 704
- 2,842
Nimekujibu wewe kwamba vyote unaweza kuvipata hata bila.mke, sasa mdau alisema kwa mke, katika maradh utapata faraja, sasa swali...kama huna mke utapata faraja from whom one??? Labda mikono, vaselini, ama abigail mac....π π π πΈAlishawataja scroll up message # 193
Kama ana mke?Kwa wale tuliokubaliana wanaweza kumhudumia.
Umewasahau tena?
Si ulisema kuna watoto, ndugu, marafiki na kumlipa nesi
πππ
Kuna siku mi niliumwa sana gheto dah hadi nikaona umuhimu wa kuwa na mkeUkiwa na mke ambaye ni sahihi kuna mambo kama kuoga, kufutwa ukijisaidia, kubadilishwa nguo, faraja n.k, vitu ambavyo kama huna mke na huna pesa za kumlipa nesi itabidi avifanye either mama, ndugu au rafiki.
Binadamu sisi tunaviburi na wabishi tukiwa wazima tu ila kuna hali zikitukuta tunakuwa dhaifu, tunatia huruma.
Nimekujibu wewe kwamba vyote unaweza kuvipata hata bila.mke, sasa mdau alisema kwa mke, katika maradh utapata faraja, sasa swali...kama huna mke utapata faraja from whom one??? Labda mikono, vaselini, ama abigail mac....π π π πΈ
Kama watoto, ndugu, marafiki,
Atamhudumia piaKama ana mke?
Huwa hatumii pombeMungu amsaidie...inawezekana pombe ikawa imechangia
Talking of modern women wengi ni predatory opportunists wanaingia kwenye mahusiano kimasilahiUmegeneralize...by the way unakutana na matapeli kwa sabbu to each persons their own...utapataje mke makin ikiwa na wewe umejaa mabalaa....
Yapi? Boxer na subwoofer?Talking of modern women wengi ni predatory opportunists wanaingia kwenye mahusiano kimasilahi
Sasa umeona umuhimu wa mke sahihi.Baba alipata mke sahihi kwa choice aliyofanya nimempongeza hata kuna siku tulikuwa tunazungumza na mzee nikampongeza kuwa alituchagulia mama bora kabisa maishani
Aisee. Ikawaje sasa? Uliwasiliana na nani?Kuna siku mi niliumwa sana gheto dah hadi nikaona umuhimu wa kuwa na mke
Sahihi kabisaUsitumie nguvu nyingi sana. Kama haoni sababu acha asione....tunachomuombea ni Afya njema
WhateverYapi? Boxer na subwoofer?
Changamoto kuwapata kama hao miaka hiiSasa umeona umuhimu wa mke sahihi.
Ni kweli ila wapo. Unajua as long as kuna mama bora kama mama yako basi hata mabinti bora wapo sababu wamelelewa na mama bora. Vipi hapo kwenu, dada zako unawaonaje? Wanafaa kuwa wake za wanaume wenzako?Changamoto kuwapata kama hao miaka hii
Labda nimkute bikiraUnajua as long as kuna mama bora kama mama yako basi hata mabinti bora wapo sababu wamelelewa na mama bora
Nimekuuliza dada zako hapo nyumbani ni wanawake bora? Unajua usinyooshee tu watoto wa wengine vidole, anzia kwanza hapo ulipokulia kama kunafaa kwa wengine kubisha hodi, kama kunafaa basi lazima utapata anayekufaa sababu na wewe utakuwa unajua unatakiwa uwe mtu wa aina gani kustahili mwanamke anayefaa kama dada zako.Labda nimkute bikira
Umemjibu vizuriKusafisha tutako twako ukijinyea
Kukuvalisha
Kukupa dawa
Ukizidiwa kuchukua hatua za dharura
Kukupa kampani
Kukupa faraja za kupona haraka na mengine mengi.
Unajua Evelyn Salt alisema niachane na watoto hamuelewi, ila sina shughuli hapa kuna wageni nawasubiri ndo maana nakujibu nipoteze muda. Ningeshakupuuza maana ni mzito mnooooo kuelewa. Hahahaha.
Kasema ukweliUmegeneralize...by the way unakutana na matapeli kwa sabbu to each persons their own...utapataje mke makin ikiwa na wewe umejaa mabalaa....
Ndugu wapo.Ana mke? Mda huu uitaji wa mke unaongezeka?!?! Wazee wa kataa ndoa kuna kuumwa eti.