Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu

Sina dada
 
Wengi mnakomaa ni pombe, kuna watu wanakufa na BP na hawakuwahi hata kuonja pombe, maradhi kaumbiwa mnanadamu. Mambo ya kawaida.
 
Mi nadhani ushauri watu tutafute pesa sio mke.
 
Ni sawa pia.

Tafuta kile unachoona ni sahihi kulingana na mazingira yako.

Mfano kwangu mimi, ukiwafuta mke na watoto umenipa adhabu kubwa sana kwenye maisha yangu. Daah, haipendezi hata kuliwaza hilo.
Mke sio ndugu yako.
 
R.I.P Captain...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…