Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mi nimemsikia akiwa Clouds[emoji22][emoji848]Kuna kipindi nilikua namskia clouds, je alishatoka?
Precisely [emoji848][emoji848]Looh Rest in Peace mate nilikua nakufuatilia sana RFA wewe na Zuberi MsabahaView attachment 1816259
Kumbe tuko wengi dah😋! Imagine awe anakuimbia au anakumbembeleza😋Huyu ndo George Bantu[emoji39][emoji39][emoji39]anavutia kama sauti yake isiyochosha,RIP fedrwaaa
@
R.I.P Fredwaa.
Mwendo umeumaliza.
Alikuwa vizuri bna kipindi hicho ndo naanza kubaleheO. M .G[emoji134][emoji134][emoji134][emoji22][emoji22]
I loved this guy na ule muungurumo wa sauti + jokes zake kwenye pindi lake[emoji22][emoji22][emoji24]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huwa wanavutiwa Sana na Sauti nzito though ulimbo wao mkubwa now ni hela 😀Ohooo! Kumbe Bantu anapendwa na wadada hivi...
Hivi wanawake wanapata barehe au kuvunja ungo??Alikuwa vizuri bna kipindi hicho ndo naanza kubalehe
Naye alinenepa mno.arghAlikuwa vizuri bna kipindi hicho ndo naanza kubalehe
Ndo hyo hyo nadhaniHivi wanawake wanapata barehe au kuvunja ungo??
Mambo mazito haya [emoji1322][emoji1322]
Unamsemea pjAlikuwa Clouds nilikuwa namsikia kipindi chao cha jion na Gadna ..R.I.P.
Kipindi hicho ilitokea Vodacom wakamiliki vipindi vyote RFA yani Ukiamka asubuhi u akutana na magazeti na Vodacom sijui matukio na Vodacom, msafiri na Vodacom yani mpaka jioni kwa Jumaa Ahamed Baragaza ni mavodacom tuu. Ilikuwa wakati wao na Vodacom hivyo kila mtangazaji aliitangaza sana VodacomNafikiri Fred Waa ndiye mtanzania anayeongoza kuutangaza mtandao wa Vodacom! Kama kweli Vodacom wanazo kumbukumbu na wanajali utu watafanya kitu juu ya mwendazake huyu.
Nimemchanganya na George Bantu.Unamsemea pj
Alikuwa na sauti nzuri hakuwa na mvuto wa kimaumbile labda inside structure!!Naye alinenepa mno.argh
Huenda😋Alikuwa na sauti nzuri hakuwa na mvuto wa kimaumbile labda inside structure!!