Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kwa nguvu hapa mpaka watu wameniangalia, hapo kwenye nje ya radius ya centre. Ngoja nishuke kituo kinachofuata kaka maana nauli yangu imeisha. 😀😀😀
Nimecheka kwa nguvu hapa mpaka watu wameniangalia, hapo kwenye nje ya radius ya centre. Ngoja nishuke kituo kinachofuata kaka maana nauli yangu imeisha. 😀😀😀
Sorry imeisha tokea. Lakini quotion ni kwamba katika situation kama hiyo ipe gari break ya nguvu bila kutoa gia (for manual cars)
Nadhani ni Rahabu Fungo (Rahabu Fred) na sio Rahabu SangaRip freedwaa pole rahabu sanga
Tutakukumbuka kipindi cha vodacom burudani zaidi pale RFA
Sindano tano za motoMtangazaji Fred Fidelis maarufu kwa jina la Fredwaa amefariki dunia leo tarehe 12 Juni, 2021 baada ya kupata ajali eneo la Kawe.
Kwa wale wakongwe, utamkumbuka Fredwaa kwa lipi?
Mzee wa kamba styleMtangazaji Fred Fidelis maarufu kwa jina la Fredwaa amefariki dunia leo tarehe 12 Juni, 2021 baada ya kupata ajali eneo la Kawe.
Kwa wale wakongwe, utamkumbuka Fredwaa kwa lipi?
Kuna kipindi alikuwa akitangaza clouds fm kipindi cha power breakfast , RIP fredwaa
Ohooo! Kumbe Bantu anapendwa na wadada hivi...Huyu ndo George Bantu[emoji39][emoji39][emoji39]anavutia kama sauti yake isiyochosha,RIP fedrwaaa
@
Yuko vizuri kwakweliOhooo! Kumbe Bantu anapendwa na wadada hivi...