Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ila sauti hatareee. hataree alikuwa na vibe hatareeeHuenda[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sauti hatareee. hataree alikuwa na vibe hatareeeHuenda[emoji39]
Kuna joji bantu, lwambano..dahIla sauti hatareee. hataree alikuwa na vibe hatareee
Ndio mkuuMke wake si ndio yule Rahabu Fredy?
Jamaa alikuwa anatuchelewesha shuleni miaka ya 2000. Tulikuwa tunafika shuleni karibu na muda wa mapumziko kwa ajili ya kipindi chake cha asubuhi.
Apumzike kwa amani.
Ndiye huyo, Rahabu fungo = Rahabu Fredy (Mutu ya Iringa).Mke wake si ndio yule Rahabu Fredy?
Hahahaha!Wangari Maathai my Darling, nimekutana na Ban ya ghafla kwa sababu ya yule Taga.
So sad, R.I.P Fred Fredwaa! Nakumbuka radio free Africa! Kipindi cha je huu ni uungwani? La hasha huu si uungwana! Alikua vizuri mnoo