Basi sawa kumbe bado yankiii ana sauti ya ki gentomaniHata hvyo bado mtoto hafai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa kumbe bado yankiii ana sauti ya ki gentomaniHata hvyo bado mtoto hafai
Jamaa kakunja kona kwa speed mara kajikuta kwenye mtaro. Nature ya round about ya Kawe siyo ya kuzunguka kichwa kichwa maana barabara imelalia upande wa nje wa radius ya centre. Ukifanya ufala wa speed unajikuta mtaroni ama kule kwenye jengo walilopanga E-FM kama unatokea upande wa Kawe.
Sasa hivi anaongoza Wambura Mtani.So sad, R.I.P Fred Fredwaa! Nakumbuka radio free Africa! Kipindi cha je huu ni uungwani? La hasha huu si uungwana! Alikua vizuri mnoo
Mzee wa Jiwe la gizani.Sasa hivi anaongoza Wambura Mtani.
Anamconfuse na George Bantu. Hao ndio wabongo Mkuu Misinformation ndio kawaida yao!Hivi inakuwaje watu mnachanganya vitu hivi?..Fredwaa hajawahi kutangaza na kina Gadna..alikuwa PB around saa 11- 01 asubuhi.
Kuna kile kipindi cha hakuna kulala wahenga wenzangu mnakumbuka alikua ana host pia. Enzi hizo rfa ilikua rfa.
Ooh naye yupo vizuri kama alivokua Fredwaa? Dah bado siamini R.I.P. kwakeSasa hivi anaongoza Wambura Mtani.
Na sehemu aliyopatia Ajali na Kufia eneo la Msonge mpaka Tanganyika Packers kila Mwaka lazima Mtu afe kwa Ajali. Inasemekana kuna Mdudu.
Ooh naye yupo vizuri kama alivokua Fredwaa? Dah bado siamini R.I.P. kwake
Mdogo wake huyo namjua ndani nje kwani nimekaa nae miaka mitatu Chuoni SAUT Mwanza 2006 hadi 2009 na hapa Dar pia nakaa nae jirani mno.Kamrithisha ulevi?
Sijui kwanini alikuwa anapenda kulewa sana mpaka kwenye pindi[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Simkubali Mwamposa ila kwa hili namtetea kwani nalijua hilo eneo huu mwaka wa 20 sasa na Ajali za ghafla na Watu Kufa hapo ni la Kawaida sana.Mwamposa atazamwe usikute kaweka madudu yake.
Joji BantuBasi nimechanganya majina.
Kwani ndiyo huyu aliekufa mkuu ???So sad, R.I.P Fred Fredwaa! Nakumbuka radio free Africa! Kipindi cha je huu ni uungwani? La hasha huu si uungwana! Alikua vizuri mnoo
No si huyu wa sasa, yeye alikua anahost zamani nakumbuka nilikua primary hivi, now hadi umauti umemfika alikua Clouds Fm