kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
5 za moto asbKuna kile kipindi cha hakuna kulala wahenga wenzangu mnakumbuka alikua ana host pia. Enzi hizo rfa ilikua rfa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5 za moto asbKuna kile kipindi cha hakuna kulala wahenga wenzangu mnakumbuka alikua ana host pia. Enzi hizo rfa ilikua rfa.
5 za moto asbKuna kile kipindi cha hakuna kulala wahenga wenzangu mnakumbuka alikua ana host pia. Enzi hizo rfa ilikua rfa.
Kamanda wa Polisi amesema black and white "Monde" ni hatari kwa madereva.Mbna ameonekana akiwa na kina dj venture na t.i.d Kama vile walikuwa wanapiga gambe kwa kwenda mbele
Dhaaaa Acha kabsa jamaa alikuaPole kwa wafiwa
Namkumbuka akiwa RFA kipindi cha saa moja mpaka mbili asubuhi hasa pin tatu za moto na vichekesho
Yeah Rahabu Fred aliyekuwa RFA siku hizi yupo Azam.Unamanisha rahab fred ? Wa rfa
Yeah Rahabu Fred aliyekuwa RFA siku hizi yupo Azam.
Mdogo wake lesbian janeth John aliyefanyiwa engagement party na litomboy yuko wapi?Yule toka atolewe unaibu waziri michezo kachanganyikiwa binti anazidi kua mfupi yule
Apumzike kwa amani. Na amezaa na sister angu jamani. Bibi Happy joseph. Yuko china. Sijui ataweza kwenda zika kibosho?Mungu amrehemu mchaga wetu
AzamHivi Rahabu mke wake yupo wapi now days?
Bro lifestyle zetu ndo zinatumaliza.....kamanda wa polisi amesema alikuwa amelewa gari likamshindaAlipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa.
Sijui na sisi tumepangiwa vipi?
R. I. P
Sijawahi mwona Rahabu hata kwa picha,pamoja na kumsikiliza snPumzika salama Fred,Pole nyingi sana kwa Rahabu jamanii inauma sana kumpoteza mpendwa wako ghafla.Kifo hakina huruma.Eeh Mungu tupe mwisho mema.
Binafsi alipotoka FREE AFRICA sikujua, ndio maana hata comment yangu ya kwanza nliwapa pole FREE AFRICA.Inaonekana alipokuwa Radio Free Afrika ndio alitamba sana kuliko alipohamia Clouds. Maana naona wote wanamkumbuka tu kwa sifa Za free Afrika.