Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Tatizo bavicha mmejaa ujinga mwingi na hamtaki kusikia maoni ya watu wengine yani mnataka tuwe kama tupo kwenye magroup yenu ya bavicha.Ngoja na mimi nianze kumlia timing
Mtu akikuchalange unakimbilia mitusi. Namna hii mtapigwa ban sana tu.