Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ficha ujinga wako, kapangiwa na nani ?Alipangiwa atakufa
Punguza vitisho kiongozi. Amezwe na samaki kwani amekuwa nabii Yunus?Utamezwa ba samaki
RFA vitoto vilikuwa vinacheka.Mtangazaji Fred Fidelis maarufu kwa jina la Fredwaa amefariki dunia leo tarehe 12 Juni, 2021 baada ya kupata ajali eneo la Kawe.
Kwa wale wakongwe, utamkumbuka Fredwaa kwa lipi?
Mtangazaji Fred Fidelis maarufu kama kwa jina la Fredwaa amefariki dunia leo Dar es salaam, taarifa za awali zinasema amefariki baada ya kupata ajali Kawe akiwa yeye ndio anaendesha akiwa na abiria mmoja ndani ya gari ambae yeye amejeruhiwa tu.Nini tatizo na kafia wapi? Chanzo cha habari kiko wapi? Habari mbona ½ nusu
Ajali ya aina gani?Amepata ajali hapa Kawe muda mfupi uliopita.
Umechanganya na George Bantu nadhani.Basi nimechanganya majina.
Na DJ JeffJerryMbele yetu
Nyuma yake.
Ukiacha Baba T alikuwa ni mwandishi aliyeutendea Haki muziki Reggae.
Its Jah's Love
Zile amsha amshaa na dj feruuh daaaahHivi inakuwaje watu mnachanganya vitu hivi?..Fredwaa hajawahi kutangaza na kina Gadna..alikuwa PB around saa 11- 01 asubuhi.
Unamanisha rahab fred ? Wa rfaRip freedwaa pole rahabu sanga
Tutakukumbuka kipindi cha vodacom burudani zaidi pale RFA
Kwenye kipindi cha saa mbili asubuhi cha amka na vodacomDuh! RIP ntamkumbuka sana akiwa RFA.