KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mungu ampumzishe anapostahili....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hivi kumbe ban zipogo? Dah..lini hiyo?. Pole sana mkuu ..nimechekaWangari Maathai my Darling nimekutana na Ban ya ghafla kwa sababu ya yule Taga.
Jamani sauti ya George bantu unaweza kusismka...sema anaonekana mhuni huniUmechanganya na George Bantu nadhani.
Kwanini unasema anaonekana muhuni muhuni?Jamani sauti ya George bantu unaweza kusismka...sema anaonekana mhuni huni
AppearanceKwanini unasema anaonekana muhuni muhuni?
Umeamua kunisema mhuni si eti!!Jamani sauti ya George bantu unaweza kusismka...sema anaonekana mhuni huni
Tarehe 8 yule Wakudada vua kwakweli nilipandwa na gazabu sana nikahamia kwenye KonyagiHahahaha hivi kumbe ban zipogo? Dah..lini hiyo?. Pole sana mkuu ..nimecheka
Daaah nakumbuka miaka ya 2002_2006 RFA ilikua moto sana. Kipindi cha asubuhi misumari mitano ya moto hii redio ilishika vizuri mawimbi kule kijijini. I miss those daysRip freedwaa pole rahabu sanga
Tutakukumbuka kipindi cha vodacom burudani zaidi pale RFA
🤣🤣🤣! Angekuwa demu ungemtafuta tu ukamalizia hasira kunako😶Tarehe 8 yule Wakudada vua kwakweli nilipandwa na gazabu sana nikahamia kwenye Konyagi
Gari imeingia mtaroni kwa upande aliokuwa yeyeAjali ya aina gani?
Gari na gari au?
Vp ya juma lokole mkuu haikusisimui ?Jamani sauti ya George bantu unaweza kusismka...sema anaonekana mhuni huni
Kichefu chefu
Kwamba uka lower ....Jamani sauti ya George bantu unaweza kusismka...sema anaonekana mhuni huni
Hayo umeongea wwKwamba uka lower ....