Mtangazaji na Mchambuzi Hans Rafae wa CROWN FM jiangalie sana kwani Wewe bado ni Kijana na una Safari ndefu utajiharibia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haiwezekani kila uwapo Kipindini Wewe 95% ya Majadiliano yako / Uwasilishaji wako ni kuisema tu vibaya Simba SC ila Yanga SC ambao Mdhamini wao anakulipa Kisiri huku Rais wa Klabu hiyo akiwa ni Rafiki yako kutokana na Kujipendekeza Kwako Kwake wala huisemi.

Umejaa tu Unafiki, Wivu na Chuki kwa Klabu ya Simba SC. Ukiendelea tutakupiga Kipapai Sauti yako Ikauke Milele Amina.
 
Mwaka huu utakonda,ushauri hamia Mwananchi.
 
Kiukweli katika waandishi wamenyooka ni Hans Rafael na Farhan japo huyu Farhan alijisema yeye ni kolo anajitahidi sana kubalance habari. Ila sasa likute lile limedari na zee la Jambia yalishashindwa kuficha ujinga wao na wako kwenye payroll ya Simba sio bure.

Yanga hainaga waandishi wala wachambuzi wa kuwapigania mitandaoni kama makolo
 
Tulitaka kufukua maiti zenu na vibudu mlivyovifukia...wanga wakubwa nyie
Kwanini muogope sisi kuingia hilo ndo swali mjiulize...nyie ndo mmetukimbia na kutuogopa..
 
Umemshahau yule muhindi koko wenu wa kule wasafi...utopolo wana watu bana wa kuwachamba tuu Simba
 
Yule hana lolote,Kazumari alimbananisha mpaka kikawa kinabana pua tu wala hakieleweki alichokuwa akisema
 
Kwani yule jemedari si analipwa pia na simba,na yeye kila siku kuisema yanga tu,mbona sisi hatusemi
 
Alfununu jinunu
 
sikilizeni TBC acheni ujinga

mambo kama haya mtayasikia kwa jirani tuh vijana zanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…