Mtangazaji na Mchambuzi Hans Rafae wa CROWN FM jiangalie sana kwani Wewe bado ni Kijana na una Safari ndefu utajiharibia

Mtangazaji na Mchambuzi Hans Rafae wa CROWN FM jiangalie sana kwani Wewe bado ni Kijana na una Safari ndefu utajiharibia

Naweee huna tofauti, mbona wewe muda wote ni kuisema Yanga. Mbona kina jemedary Said muda wote wanaisema Yanga mbona husemi au sababu huyu kagusa mshono.
 
Mliambiwa mfanye usajili mka puuzia sasa kila mtu mnagombana nae.
Ni ngumu kuitetea timu mbovu lazima uta dhalilika tu.
Ona jinsi wachambuzi wa mchongo wanavyo dhalilika kuitetetea timu mbovu.
Ona Marefa wanavyo dhalilika kuitetea timu mbovu.
Ona Tff na Bodi ya ligi wanavyo dhalilika mpaka kupelekea mjumbe wa bodi kujiuzuru.
Msipo angalia ata swaumu zenu zita haribiwa na iyo timu.

Ili sakata ili uitetetee timu mbovu ukubali kujitoa ufahamu na kuharibu swaumu yako.
 
Back
Top Bottom