Mtangazaji wa Clouds alalamikia kutishiwa na Haji Manara

Haji Manara kuwa msemaji wa klabu kubwa kama Simba ni udhalilishaji. Huyu na Jerry Muro ni Waropokaji siyo Wasemaji.
 
Hadithi za mikia haziko objective. Issue ni udhalilishaji tena wa mtoto wa kike, embu tutumie akili zetu vizuri, na tarehe 3 lazima tutafune myama. Simba kwao porini.
Kila mtoto wa kike akielezwa ukweli inageuzwa kadhalilishwa.At the same time mnadai usawa. Huyo mwanamme aliyejibiwa hajadhalilishwa Bali Prisca.

Hizi ni dabo standadi za kijinga,jinsia fulani kuona hawawezi kukaripiwa.
 
Kama kweli huyo dada ni mchonganishi basi alistahili kujibiwa vile.
 
Uwenda Prisca kweli akawa na makosa,sina hakika kama kweli huyo dada anamakosa kwasababu sijayajua japo wadau wanasema yapo ila alichofanya Haji sio.
Haji anajazba za haraka sana pia ana madeko flani hivi yanayomfanya aongee chochote kinachomjia baada ya jazba zake kupanda.
Natamani Haji aombe radhi yeye ni msemaji wa Simba na press yake ilihusu kuelekea Kariakoo darby kwanini ameingiza personal issue na vitisho kwa wanahabari!.
 
Prisca na yule bishoo wa kiume tunajua walikua wanaitaka nafasi ya Haji pale msimbazi ndio bifu lilipoanzia..
 
Manara ana madhaifu mengi sana, inabidi afahamu anawakilisha Simba brand kubwa, mambo ya kwenye kahawa ayaache uko uko
 
Haji kakosea lazima aambiwe ukwelii!
Asijione yupo juu ya wote
Busara na weledi vitumike!
Nani anajiumba au anachagua awe na sura soft!
Yeue mwenyewe mlemavu wa ngozi hana adabu
 
Sikutegemea mwalimu wa Madras anaweza kuwa na mapungufu ya kinidhamu kiasi hiki Sasa watoto wanajifunza nini kwake!!!
 
Ukiona kiongozi (public figure) anatumia lugha mbaya kwenye press conference huyo hafai, anaweza kuwa ana over-confidence", kitu ambacho ni hatari!

Kuna siku nilipata concept kutoka kwa mwandishi wa habari miaka hiyo, ambapo vyombo vya habari vilikuwa hot.

Alisema hivi "Unakuta unampigia mtu fulani kumuuliza tuhuma fulani ili akupe habari lakini hapokei simu au anatukana"

Kitendo cha kutopokea simu au kutukana hizo ni habari pia. Zitaandikwa hivo hivo, kwamba, "alipopigiwa simu, simu yake iliita bila kupokelewa" au "Alipigiwa simu, lakini hakutoa ushirikiano kwa mwandishi".

Maana yangu ni kwamba, unapokuwa msemaji wa timu, kazima utaulizwa maswali ya kuudhi, hivyo ni lazima uwe mpole na ku-relax. Hakuna haja ya kukimbia maswali wala kupanic.
 
Lisemaji leye UWELEDI.
 
indeed.
 
Prisca Kishamba ni mpuuzi sana huyu dada hasa linapokuja suala la Simba.

Ni moja ya wachambuzi wanaokuza ujinga ujinga na ili kuua brand ya Simba.
Ana ushabiki wa kiutopolo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…