Unakuta baada ya upasuaji alipata infection sasa kupambana na hiyo infection vita yake inaweza kumletea kifo.Wataalamu hebu watoe elimu ili kina Dada wasi risk maisha yao,
Kipi kinafanya wafe kwenye kuongeza makalio? Hua ni operation wanayakata na kisu? Je damu nyingi huvuja? Maswali ni mengi ila kinachopelekea hasa kifo kwenye hiyo operation hua ni nini?
Hapa sijakupata kabisa naona umeelekezw kitaalamu sana mkuuUnakuta baada ya upasuaji alipata infection sasa kupambana na hiyo infection vita yake inaweza kumletea kifo.
apana kwenye swala la uumbaji sirekebishi chochote😂😂😂😂😂 Ngoja uzipate mbona tutajuta View attachment 2980543
So siku hizi haupendi kusikia maneno mazuri?😋😋 uuuuweeeeh sjadanganywa aya maneno mda mrefu
Mwisho mkufuruBWANA AMETOA, MATAKO YAMETWAA...! ALALE PANAPOSTAHILI MPAMBANAJI.
Eti yanadumu kwa muda gani 😆😆😆😆 aiseee nimecheka hadi machozi.Tungepata dactor atujuze, hayo makalio yanaongezwaje, na je hivyo wanavyojaza wanavitoa wapi,
Na pia hayo makalio yanadumu kwa muda gani?
Napenda ila ndo siambiwi😂😂So siku hizi haupendi kusikia maneno mazuri?
Acha kujihesabia haki,ninyi watu mliopandikizwa hizi dini za wazungu na waarabu mnapenda sana kujiona ni wema na huyo mungu wenu kumbe ni ubatili tu,mungu wa biblia na Qur'an ni tafauti sana na Mungu halisi,endelea kujilisha upepoHapo kwenye bwana ametoa na kutwaa nashauri ungesema "Bwana ametoa uturuki wametwaa" maana sidhani kama MUNGU alimtuma aende uturuki.
Ni wengine waliokudanganya ila sio huyu.😋😋 uuuuweeeeh sjadanganywa aya maneno mda mrefu
UmebubujikwaEti yanadumu kwa muda gani 😆😆😆😆 aiseee nimecheka hadi machozi.
Ndio nisha kuambia...jitunze.Napenda ila ndo siambiwi😂😂
Ulaaika humul sharul bariyaafiinaari Jahannam khaaridiina fiihaa abadaaa
au labda Pressure ilipanda au kushuka ghaflaUnakuta baada ya upasuaji alipata infection sasa kupambana na hiyo infection vita yake inaweza kumletea kifo.
Hakika kama Lucas.Umebubujikwa
Fafanua ishu ya presha hapoau labda Pressure ilipanda au kushuka ghafla
Bongo hiyo nayo ni fursa, mama kafungua nchi.Halafu cha ajabu nimeona wanaomba mchango wa $4,500 za kuweza kurudisha mwili TZ.
Yani mtu aende na kiranga chake mwenyewe cha kutaka kumkosoa Mungu halafu ndugu na jamaa waje kuomba msaada wa kurudisha mwili wake.
Ikiwa alikuwa na pesa za kwenda kuweka matako basi lazima itakuwa ana pesa za kutosha kurudisha masalia ya matako yake.
Mungu mwenyewe anaona na wala hajali....ni wewe tu na hisia zakoMkuu, kwenye mambo ya kipuuzi ebu usilitaje bure jina la Mungu wetu
Venous thromboembolism ndiyo sababu kubwa ya Vito vya namna hii iliyoripotiwa, maana yake ni chembe chembe ndogo za mafuta au damu iliganda(clots) hupenyeza kwenye mishipa ya damu na kufanikiwa kuzunguza na damu, hatimaye hufika kuziba mishipa muhimu ya kwenye moyo au mapafu na kuzuia damu isiende, kukosekana kwa hewa safi,chakula na vingine muhimu husababisha kifo cha seli za maeneo hayo hatimaye kiungo kushindwa kufanya kazi hatimaye hugharimu maisha(kifo).Unakuta baada ya upasuaji alipata infection sasa kupambana na hiyo infection vita yake inaweza kumletea kifo.