Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

Wote wanao mdhihaki na kumkosoa Mungu,wapatwe na mabaya zaidi ya hilo.
 
Naomba maelekezo nataka kwenda msibani......msiba upo wapi???
 
Acha kujihesabia haki,ninyi watu mliopandikizwa hizi dini za wazungu na waarabu mnapenda sana kujiona ni wema na huyo mungu wenu kumbe ni ubatili tu,mungu wa biblia na Qur'an ni tafauti sana na Mungu halisi,endelea kujilisha upepo
Haya wewe usiyeamini MUNGU mbona unajipa mamlaka ya kuhukumu hao wanaomuamini MUNGU?
 
Wazike hukohuko yaani!
 
Mmmmh hatarii sana hii ni complex mechanism aiseeee..
Wadada wanapitia mengi kumbe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…