Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali

Enzi ya JPM mtandao ulikuwa 2G na 3G
Hapa umedanganya tena bila reference huduma ya 4G imeanza hata kabla huyo JPM hajawa rais


, uko slow sana, wakati mwingine
unapotea kabisa
Umeona hiyo attachment kutoka Netblocks na umeielewa?

Huwezi kusema internet ilikuwa "slow" wakati waliokuwepo Tanzania walipopakua VPN mtandao ulikuwa na kasi halafu wakizima VPN mtandao haufungui kitu chochote.


Njoo na majibu ya kueleweka zama za uongo wa JPM ndio zilizamisha taifa hadi watu wakawa wanapika taarifa kumfurahisha bila kujua wanadangaya na madhara yake yamekuja kuonekana baadae.
 
Ndio uende mahakamani ukatoe huo ushahidi ili kumlinda serikali dhalimu ya CCM
Mahakama iko wazi mtu anayeona kuwa hajatendewa haki akafungue shitaka maana mpendwa wake anaonewa sana kwa sababu alishafariki na hana wa kumtetea,basi muda wa utetezi ndiyo huu.
 
Kama wanaingiza chochote kitu kwa kufungua hiyo kesi naona ni sawa tu. Tunaita ujasiriamali. Washinde au wasishinde kwenye hiyo kesi hakutakuwa na madhara yoyote kwa serikali ya awamu ya 6 chini ya Dr Mama Samia. Wananchi wasiwe na hofu.
 
Mahakama zipi sasa? Hivi Tanzania kun
Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka Duniani kwa sasa, Kwamba Mtanzania huyo Mzalendo na mwenye uthubutu, Bwana Kumbusho Dawson, ameifungulia kesi Serikali ya Tanzania Pamoja na Mamlaka za mawasiliano kwa jambo lile la kishamba la mwaka 2020 ili Mahakama ichukue hatua na itamke kwamba jambo kama lile lisirudiwe tena kwenye Nchi hii .


Nachukua nafasi hii kumpongeza kijana huyu kwa ujasiri huu, tena bila kuogopa kutekwa, badala ya kunyamaza na kuishia kulalamika kama Kinana na Warioba, yeye ameamua kuchukua hatua

Nakala: Nape Nnauye
Mahakama ipi sasa? Hivi Tanzania tuna mahakama kweli? Hebu tujiulize kesi ya kina covid19.
 
Back
Top Bottom