Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

wanawake wetu siwaoni hapo mbele...wengi ni wazungu
 
mwanamke wa portugal ametimua kweli ila bado mapema
 
Sasa hivi amejifungulia milango. World Championship Bronze Medallist sio mtu mdogo, ameingia kwenye historia ya riadha duniani.

Hata Usain Bolt mwaka huu kaishia bronze medal!

Kabisa Mkuu na nimefarijika jinsi unavyobainisha kwa msisitizo kuwa mbio hizi ni za Ubingwa wa Dunia za Shirikisho la Riadha Duniani yaani IAAF World Championship 2017 zilizokusanya wakimbiaji bora wa masafa mbalimbali ikiwemo hii ya marathon. Hivyo siyo mchezo mchezo mashindano ya Ubingwa wa dunia.
 
VIVA SIMBU

VIVA TANZANIA
 
Shukran mkuu,
 
Wakenya,Ethiopia,Tanzania ladies wapo kwenye kundi moja....
 
Kwa miaka ijayo jamaa atafanya vizuri zaidi ya leo... last year alikuwa wa 5 sasa hivi kawa wa 3 .tutarajie makubwa kutoka kwake. Hongera saana.
 
Hizi mbio si mchezo, simbu anahitaji mapokezi ya heshima na kuandaliwa mazingira ya kushindana mbeleni


Mwakyembe haujafika Airport tu?
Mwakyembe bado yupo msibani, wanyakyusa msiba kwa mtu mzima ni mwezi, ukoo wa kichifu miezi sita. Wanyakyusa wanajua kulia we acha bhana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…