Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

umesema tuongezee rekodi zake, nami nmekuongezea rekodi yake nyingine kuwa "ni mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa CCM"

Kwani hii siyo sifa yake pia?

kama ni sifa yake pia rudi kwenye bandiko lako hapo juu uiongeze.
Shukrani sana. Nimekupata sawia
 
Records baada ya Rais wa wanna hi kufariki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…