Mtanzania mwingine apigwa risasi Afrika Kusini

Sahihi kabisa , ukiona hadi unaingia kwenye anga za hao washika bunguki , "ama 7 phezulu" jua na wewe sio msafi .
Wabongo tujifunze njia ndefu za kutafuta maisha , sio illigal shorcuts
Kweli mkuu, ni vizuri tubadilike maana tutaisha bure.
 
Hahahaha umenichekesha sana mkuu. Sema ndo hivyo waafrika sote ni ndugu na maisha ni popote.

Wewe umechagua huko ukaona panakufaa, na wengine tumechagua huku tukaona panatufaa haswa kwa utafutaji. Ila huwa narudi bongo kila baada ya mwaka mmoja au sometimes miwili.

Sijazamia moja kwa moja kama wabongo wengine.
 
Wabongo Wana sifa mbaya Sana Sauzi, wezi, vibaka, wauza unga, nk. Awaaminiki zaidi ya kukata viuno na kufungua chupa za bia hawana kingine.
Wasomali waethiopia wakenya Nigeria dunia nzima wakienda ni kutafuta na kupeleka nchi mwao.
Yani tunatia aibu kaka. Tunashindwa hata na warundi wanaotoka nchi za vita.
 
Dah pole sana mwana kwa kupoteza mshikaji wako wa karibu.
 
Huyu dogo sijui nini kimemkuta maana Brother ake mkongwe hapo kitambo na nina uhakika ana ramani na address zote za J'berg.
Huenda ni kudhulumiana au madem mkuu. It's not easy someone to kill him without any reason.
 
Huenda ni kudhulumiana au madem mkuu. It's not easy someone to kill him without any reason.

inawezekana pia maana naona kuna wakati mpaka "hit man's" wanatumwa bongo kuja kumaliza watu waliodhulumu huko.

Shida vijana wengi wakibongo uelewa mdogo sana na ukosefu wa good primary education, unatoka kwenu bongo nakwenda kuwa mwizi wa mifukoni SA, na michongo mingine ya kifalafala ambayo hata hapa bongo inawezekana tu.

Vijana wengi wanataka kuishi SA kama sifa tu lakini hakuna wanachogain.
 
Kuonewa onewa, kuishi kwa mashaka, hivi ukienda kufanya nao kazi uogopi kweli.
 
Tamaduni zetu za kiswalihi na mazoea tunapeleka kwa jamii ambayo mazoea ni marufuku..

Lazima upigwe shaba.
 
Wabongo wengi wanaokuja huku ni wale vijana wadogo wadogo ambao wengi wao ni vibaka wa mitaani kama vile panya road nk. Wanajua wakifika huku wizi wao utawasaidia kutoka kimaisha.

Kwahiyo wanakuja huku kwa lengo la kuja kuiba au kuuza madawa ili apate fedha, sio kufanya kazi au biashara kama wenzetu. Hakuna Mkenya anaekuja huku bila kujua anachokuja kufanya.
 
Kuonewa onewa, kuishi kwa mashaka, hivi ukienda kufanya nao kazi uogopi kweli.
Kama ilivyo kwa watanzania au hata kwenye familia mnaweza kuzaliwa baba mmoja mama tofauti. So ukakuta watoto wale wa mama tofauti baadhi wanapatana na baadhi wanachukiana.

Sio kila mtanzania, mkenya, mganda, msauzi nk ana roho mbaya au nzuri. Kote utakuta kuna watu wabaya na watu wazuri. So ninaofanya nao mimi kazi hawana tatizo kwa sababu wana kazi tayari ya kuwaingizia kipato cha uhakika. So anichukie mimi kwa lipi!
 
Tatizo la wabongo wengi wo huko bondeni ishu zao ni kuuza Powder, Bangi au ukabaji. Mukishauliwa munakuja kulalamika humu. Tunakosa nguvu hata za kuwalalamikia, Acheni kazi za kishenzi.
 
Tatizo la wabongo wengi wo huko bondeni ishu zao ni kuuza Powder, Bangi au ukabaji. Mukishauliwa munakuja kulalamika humu. Tunakosa nguvu hata za kuwalalamikia, Acheni kazi za kishenzi.
Mkuu umenisoma vizuri katika andiko langu na kujiridhisha kuwa mimi ni mmoja wa hawa uliosema katika comment yako?

Mimi sijalalamika bali nimeshauri ndugu zetu watanzania wale waliopo hapa Sauzi na wale ambao bado hawajaja, lakini wana ndoto za kuja.

Unaposema kabila fulan wako hivi, haimaanishi kuwa wote wako hivyo, bali kuna baadhi wanakuwa tofauti na wenzao.
 
Hili ni tatizo kubwa sana mkuu.
 
Watoto wa magomeni, temeke na ilala ndo wapo SA kwa wingi. wengi wao shule hakuna. hata 4m4 mtu hakumaliza. Akina dula hao
Sasa hivi kuna wimbi la watoto wa mbagala aisee. Hawa ndo kabisa hawajui hata kuvuka barabara, ila ndo wanaojifanya wanajua kila kitu kumbe zero kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…