Mtarajie chuki dhidi ya CHADEMA na Lissu kutoka kwa vibaraka wa Mwendazake kuanzia sasa

Mtarajie chuki dhidi ya CHADEMA na Lissu kutoka kwa vibaraka wa Mwendazake kuanzia sasa

Sawa lakini siyo kwa nia ovu wala kwa siri.
Ushaambiwa national security. Sasa tafsiri ya uovu ni kwa sababu wahusika hawana sababu ya kusema in details kwa kiasi gani waliona huyo mtu ni tishio at the time.

Swaying of public opinion ni national security matter too, ndio maana unaona hata wazungu wakiona Russia Today imezidi propaganda kipindi cha vita ya Ukraine ili kulinda public opinion ya propaganda zao wameifungia.

Sasa wewe unaambiwa achana na haya mambo uelewi utaki kuelewa unajiita kichwa ngumu. Mambo mengine ni ya kujitakia.
 
Kwa maneno mengine, kambi ya Mwendazake sasa itaungana na huu utawala wa sasa katika vita ya kutaka kuangamiza wapinzani kupitia haya matukio yanayoendelea ambayo serikali inatuhumiwa kuhusika.

Mjiandae kwa vita mpya wote msiopenda maovu yanayoendelea sasa.
Hilo haliwezekani, kambi ya mwendazake ipo busy na 2025, na vita ipo ndani ya chama chao.

Chuki dhidi ya upinzani ipo na itakuwepo siku zote, hiyo ni asili ya siasa.
 
Washabiki, wafuasi na vibaraka wa Mwendake, akili zao ni za hovyo kupindukia na huwa wako teyari kufanya lolote kwa yeyeote ataesema jambo baya kuhusu Mwendazake hata kama kweli huo ubaya ulifanywa na Mwendazake.

Niwaambie tu, hata mauji ya Mzee Kibao yangefanywa na Mwendazake, wangetetea kwa nguvu zote. Leo msiwaone baadhii wanalaumu sio kwasababu wameumizwa na hicho kitendo, bali ni kwasababu hawaingu mkono hii serikali ya sasa.

Hivyo, baada ya sakata la Lissu kutaka kuwawa kuibuliwa upya na media za nje na Lissu nae kulishikia bango hili sakata linalomgusa Mwendazake, mtarajie hawa vibaraka wakawa upande wa hii serikali ya sasa kwasababu tu Liisu na wana-CHADEMA kwa ujumla watakuwa wanaumbua utawala wa Jiwe na Jiwe mwenyewe.

Kwa maneno mengine, kambi ya Mwendazake sasa itaungana na huu utawala wa sasa katika vita ya kutaka kuangamiza wapinzani kupitia haya matukio yanayoendelea ambayo serikali inatuhumiwa kuhusika.

Mjiandae kwa vita mpya wote msiopenda maovu yanayoendelea sasa.
Kama kuna mtu kaielewa hii stori naomba anisamarie.
 
Vipi kuhusu Mello na Jamii Forums mbona serikali inawasaka ninyi wenye ID fake lakini inashindikana?
Labda we mwenzangu ndio siri, sisi wengine washatuuza kitambo only that we are not persons of interest kwao. .

Halafu kwa Melo that has nothing to do with national security, zaidi ya ubabe tu.

Additionally JF wana akili washaweka limited liability ya contents zinachongawia ukisoma rules zao hawausiki na contents za wachangiaji.

Pili wana discreet rules ya wachangiaji, basically hawana legal responsibility ya content za JF.
 
Mayor Quimby "Mnailaumu TiGO bure as if wana option, serikali ikitaka info zako hakuna kampuni ya simu itazuia. Watanzania mnataka kusema kama vile ilitoa info voluntarily tu"

Ni kweli kabisa Serikali ikitaka taarifa yo yote kutoka kwa kampuni ya simu lazima ipate lakini kwa utaratibu rasmi wa kimahakama vinginevyo ni kukiuka sheria zetu.
Tofautisheni upelelezi wa jinai za polisi; na national security laws.
 
Labda we mwenzangu ndio siri, sisi wengine washatuuza kitambo only that we are persons of interest kwao. .

Halafu kwa Melo that has nothing to do with national security, zaidi ya ubabe tu.

Additionally JF wana akili washaweka limited liability ya contents zinachongawia ukisoma rules zao hawausiki na contents za wachangiaji.

Pili wana discreet rules ya wachangiaji, basically hawana legal responsibility ya content za JF.
Nina hakika kama wote wenye ID fake wakifahamu au kuambiwa majina yao halisi yatawekwa wazi kwa polisi ndiyo siku ambayo Jamii Forums itaanza kukosa wachangiaji kuhusu serikali na viongozi wake!
 
Nina hakika kama wote wenye ID fake wakifahamu au kuambiwa majina yao halisi yatawekwa wazi kwa polisi ndiyo siku ambayo Jamii Forums itaanza kukosa wachangiaji kuhusu serikali na viongozi wake!
JamiiForums imechukua kila hatua ya kuzuia hata wao kuwajua members. Nadhani hata IP Addresses za wachangiaji siku hizi hawaoni.

Halafu kama nilivyokwambia wana exclusion clauses (limited liability ya contents) za wachangiaji. Mbona hayo mambo Maxence kayaongelea mara kadhaa kwenye interview zake.

Sasa Max atataja watu ambao hawajui.
 
Nina hakika kama wote wenye ID fake wakifahamu au kuambiwa majina yao halisi yatawekwa wazi kwa polisi ndiyo siku ambayo Jamii Forums itaanza kukosa wachangiaji kuhusu serikali na viongozi wake!
Kimsingi wanayajua sana tuu hususani Wakiwa na interest na wewe so hakuna ulichojificha mbele ya serikali.

Ukitaka kujua Hilo kuwa tishio au wakikuambia acha jambo x ukiendelea ndio Utajua hujui na mbaya zaidi unapigiwa kwenye namba zako za simu unadhani wanakuwa Wametoa wapi?
 
Wahusika wana mikataba ya kibiashara au uwekezaji unalindwa na BITs.

Shida zaidi ni kupeleka wanasheria below par, Amsterdam amekuwa akitafuta angle ya kupata hela ya Tanzania kwa miaka.

Shambulio la Lissu halina jurisdiction nje ya mipaka ya Tanzania. Ukipekuwa huyo mzungu lazima ana direct relationship na Milicom ndio maana kaishitaki na itakuwa imesajiliwa U.K au kuna elements za vicarious liability kwa mkataba wake wa kazi.

Na hujui kama huyo mzungu atashinda hata hiyo kesi yenyewe. Njaa tu za Amsterdam kutwa anashinda kutafuta namna ya kupata hela ya Tanzania kupitia kwa Lissu.
Wewe hauna unachokijua cha kuwazidi hao wanasheria wa nje na Lissu, mpaka wamefikia hatua hiyo jua wana ushahidi wa kutosha kufanya hivyo watu hawafanyi vitu kwa kukurupuka

Punguza ujuaji Kwa usichokijua hizo siyo mahakama za kisutu kwenda chemba kupiga simu kupata maelekezo toka juu
 
Wewe hauna unachokijua cha kuwazidi hao wanasheria wa nje na Lissu, mpaka wamefikia hatua hiyo jua wana ushahidi wa kutosha kufanya hivyo watu hawafanyi vitu kwa kukurupuka

Punguza ujuaji Kwa usichokijua hizo siyo mahakama za kisutu kwenda chemba kupiga simu kupata maelekezo toka juu
Hii sio mara ya kwanza Amsterdam kujaribu kuishitaki serikali hajawai fanikiwa.

Ipe muda ndio utaelewa kwanini kila siku uwa nawaambia Lissu hajui maswala ya mikataba.

Huyo mzungu ana legal contract na anadai unfair dismissal, sasa mimi na wewe hatujui mkataba wake wa kazi hadi atumie ‘vicaruous liability’ kuishitaki kampuni mama.

Swala la Lissu halikadhalika lipo wazi ni purely domestic matter, unamshitaki nani nje ya nchi kwa sheria ipi au mkataba upi wa kimataifa.

Wazungu wameigeuza kesi ya kisiasa kwa sababu tribunal uwa ni private matter. Pattern ya tabia za waingereza inajulikana from the outset yesterday nyuma ya ile article ilikuwa wazi kuna mkono wa serikali ya waingereza kuleta pressure tu Tanzania
 
Vita yake ni internal (psychological), nje anapigana na upepo tu. Unaelewa shambulizi lake sio psychological sio ndogo.

Lakini ukimsikiliza unaona anahitaji intervention na huyo rafiki yake Amsterdam ndio anajaribu kutumia kila njia ya kujinyakulia hela Tanzania kupitia mgongo wa Lissu.

Wataishitaki serikali ya Tanzania nje ya nchi kwa shambulio lake kwa kutumia jurisdiction gani? Au international agreement ipo kwa domestic issues.

Halafu kasoma national security acts za Tanzania kweli karibu zote from 1970’s zinaipa mamlaka ya serikali kupewa access za info katika upelelezi wowote.

Huyo mzungu anadai remedy za unfair dismissal, Lissu yeye anataka kugeuza hiyo case about him.

Mnailaumu TiGO bure as if wana option, serikali ikitaka info zako hakuna kampuni ya simu itazuia. Watanzania mnataka kusema kama vile ilitoa info voluntarily tu.
hayo yote yanafahamika nakila kitu kinaenda vizuri
 
Labda we mwenzangu ndio siri, sisi wengine washatuuza kitambo only that we are not persons of interest kwao. .

Halafu kwa Melo that has nothing to do with national security, zaidi ya ubabe tu.

Additionally JF wana akili washaweka limited liability ya contents zinachongawia ukisoma rules zao hawausiki na contents za wachangiaji.

Pili wana discreet rules ya wachangiaji, basically hawana legal responsibility ya content za JF.
Sasa kwanini wanakuwa wanazifuta threads za clients kipumbafpumbaf, au kuna miluki ishamwagwa humu?
 
Back
Top Bottom