Mtarajie chuki dhidi ya CHADEMA na Lissu kutoka kwa vibaraka wa Mwendazake kuanzia sasa

Sasa kwanini wanakuwa wanazifuta threads za clients kipumbafpumbaf, au kuna miluki ishamwagwa humu?
Wana responsibility pia ya kutoachia maudhui ambayo wazi ni uzushi (ndio maana kuna threads) uwa wanaziwekea tetesi, kama tahadhari ukweli wa habari una mashaka.

Anyway mimi sio msemaji wao, kuna mod wa jukwaa unaweza mtag kwa majibu ya maswali yako.

Mimi nimerudia tu kauli za Max kwenye interview kadhaa nilizo msikia akijibu kuhusu discretion ya wachangiaji wake. Maelezo yake ni kwamba hata wao hawajui wanatumia encryption.
 
Umewahi pigiwa au kusikia kuwa kuna mtu amepigiwa na kuhojiwa?
 
Hauna point ya maana zaidi ya kuongea kimihemko alafu inaonekana una chuki sana dhidi ya Lissu,

Kesi haijaanza na haujasikiliza wala kuona ushahidi wa aina yoyotr tayari umeshatoa hukumu kicheani kwako na kushutumu lissu na mwanasheria wake kua hawajui sheria wala mikataba

Wewe kama ni mmoja wa wahusika tulia ulipe gharama za uovu kikombe kitakufikia tu,

Hakuna unachojua cha kumzidi Lissu wanaojua kua anajua kuwazidi kuhusu hiyo mikataba walitaka kumuua wewe kinyamlenge ambae hujawai hata kusimama mahakamani kumtetea hata mwizi wa kuku unakuja hapa kukejeli manguli wa sheria waliokuzidi upeo

Punguza mihemko na ujuaji usio na maana mwisho wa siku utaonekana mjinga
 
Huyu anadhani atamkatisha tamaa Lissu kuendelea na kesi! Kwanza Lissu ni Wakili hivyo kama kuna mapingamizi kama hayo atakuwa anafahamu.
 
Kibaraka yupi wa MH.MBOWE yupo tayari Mh.Mbowe akisemwa asitoe neno lolote lisilo na tusi ndani yake.

#AFRICAniMOJA hakuna cha nyenyeee🚮

TUTAFIKA PAHALA TUTAELEWAMA NA KUONGEA LUGHA MOJA.
 
Hao vibaraka wake hawatupi shida mana wanatabia za vijana mareshi au mchicha mwtu
 
Kwa umri wangu sijawahi ona jamii ya ovyo kama misukule ya mzee mbowe
 
Hakuna kitu kama hicho,

Magu alikuwa mzalendo, mchapakazi, mwenye Maono, mpenda watu maskini. Katika hayo mema tunamuunga mkono.

Lakini suala la mauwaji ya wasio na hatia, utekaji nk nk, siungi mkono hata kidogo.

HAKI bin HAKI!!
 
Unapomwambia mtu hajui swala usika unatakiwa uje na counter arguments to justify your position.




Lakini kulaumu watu tu kwa hoja za kutoa kichwani kwako hizo ni hisia nimeandika si chini ya mara moja sheria za national security zinaruhusu wahusika kupata info kutoka source yoyote.

Sasa soma moja hizo sheria hapo juu vyombo vya usalama sio tu vinaweza pata info kutoka popote, Iła pia awalazimiki kutoa hizo info popote hata mahakamani.

Ndio maana hiyo kesi imefanyikia ulaya na huyo mzungu kaishitaki kampuni mama.

Shida yenu wakishawajaza upepo hao watu kwa mambo ambayo amuelewi mnadhani watanzania wote ni gullibles kama nyie.
 
TiGO Tanzania imesajiliwa Tanzania sio uingereza, na Ina operate Tanzania, it’s regulated by Tanzania laws.
Tanzania kuna Laws gani, hizo hizo ambazo serikali yenyewe inazikiuka kila siku, matokeo yake hakuna utawala wa sheria?
Huyo mzungu aishitaki TiGO Tanzania,
Tanzania hakuna mahakama huru, zimegeuka chawa
 
Tanzania kuna Laws gani, hizo hizo ambazo serikali yenyewe inazikiuka kila siku?

Tanzania hakuna mahakama huru, zimegeuka chawa
Unaweza kuwa na arguments, lakini kuna swala la jurisdiction uwezi kujiamkia tu siku moja ukasema unaenda ishitaki serikali unapotaka.

Au kulazimisha upewe info ambazo taratibu zake za upatikanaji zipo chini ya sheria za Tanzania.
 
Unaweza kuwa na arguments, lakini kuna swala la jurisdiction uwezi kujiamkia tu siku moja ukasema unaenda ishitaki serikali unapotaka.

Au kulazimisha upewe info ambazo taratibu zake za upatikanaji zipo chini ya sheria za Tanzania.
Sasa tusubiri Amsterdam atatumia sheria gani kuifikisha serikali mahakamani.
 
Hata sheria ya ITU inazipa mamlaka za serikali kuchukua taarifa yoyote toka database za kampuni za mawasiliano duniani hivyo kwa ajili ya upelelezi ndio maana hata mmliki wa Telegram juzi juzi wamemkamata huko France kwa sababu ya kukaidi kutoa taarifa hizo. Sasa ulitegemea Tigo wakatae kutoa taarifa kweli?
 
Wafuasi wa CDM na wale ambao ni anti-government neno la viongozi wa CDM hasa Lissu ni sacred kwao, alitakiwi kupingwa.

Wacha niachane nao kwa sasa.

👋
 
Chief,are you certain that Tigo Tz gave such info to gavoo involuntarily?
 
Kama unajua concept ya universal jurisdiction, usingeweza kuandika hapa mambo ya "vicalicious liability"- acha kuchanganya madesa, ndio maana tunapigwa huko nje na habari za mikataba kwa kuchanganya mambo.

Yafaa ujue ni nini maana ya Universal jurisdiction: The principle of universal jurisdiction provides for a state’s jurisdiction over crimes against international law even when the crimes did not occur on that state's territory, and neither the victim nor perpetrator is a national of that state. The principle allows national courts in third countries to address international crimes occurring abroad, to hold perpetrators criminally liable, and to prevent impunity.

Kama mahakama zetu zimeshindwa, kesi hii ya Lissu yaweza kutumia hiyo principle na mambo yakaendelea kama walivyo mfanyia Milocevic na Charles taylor.

Na kuhusu Vicarious liability: is a legal principle that holds one party responsible for the actions of another party. It's often used in the context of employer-employee relationships, but can also apply to other contractual relationships.

Bilateral investment treaty (BIT): Hizi zinasaidia sana katika ku- enforce awards katika ISDS cases- Hakuna hata moja (ya hizi BiT -popote pale duniani humu) inayosema kwamba makampuni ya nje yatakingiwa kifua na serikali za nchi zao kwa kwa kufanya illegal acts- rejea kesi ya Tuna Bond - Msumbiji- ambapo kampuni moja lilikuwa linatoa mikopo kwa serikali na wananchi wanalipa mikopo hiyo, baada tu ya serikali kubadirika , kesi ikaaenda mahakamani huko huko London na kampuni likaamuliwa kuilipa serikali billions, ( Soma hapa: Mozambique wins court claim over corrupt Tuna Bonds - Spotlight on Corruption) Pia Rejea ni kwa nini serikali ya uingereza haikuikingia kifua BAE systens kuhusu yale mambo ya rada wakati Chenge...BAE Systems ilishitakiwa kwa kukiuka sheria na Tanzania ikarudishwa change ya rada, soma hapa: BAE criticised by UK MPs over Tanzania corruption . Kwa maana nyingine faini waliyopigwa ilizidi bei ya ra radar, Tanzania ni kama ilipewa bule hiyo kitu.

Nacho taka kusema nini? kama Tigo amehusika kwa namna yeyote ile - doctrine ya occupiers liability inamuhusu na huyo Tigo- hawezi kuchomoka... parent company ni la UK, mtoto wake yuko Tanzania, kafanya majambozi ya kutapanya data za watu bila idhini yao- lazima baba/mama yake ahenyeshwe...Sheria za UK zina yang'ata sana makampuni yao ndio maana huyo bwana kakimbilia kwao kuwashitaki kwa kutumia kinga ya whistleblowers-

Public Interest Disclosure Act 1998: Public Interest Disclosure Act 1998

Ujinga walioufanya Tigo sasa utamfanya Lissu kuwa Billionea kwa masihara yao ya kugawa metadata za mtumiaji wa simu ( Lissu- Bila idhini yake). They should have known better.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…