Mtazamo: Imani ya wananchi kwa Serikali imeshuka tangu Dkt. Magufuli atutoke

Sema nyie chato gang ambao mmeanzisha vi Id vipya humu vingi kuleta ujinga wenu

Wasalimie misukule wenzako wa chato, yehodaya, Suzy Elias, Johnthebabist, Stroke na wengineo
 
Jisemee nafsi yako......nami pia ni mwananchi.....na nina imani kubwa juu ya serikali hii......


Siempre JMT
 
10 Tena kwa SSH.
 
Tanzania haijaanza kipindi cha utawala wa hayati JPM .... tuwe na akili timilifu.. .


Siempre JMT
 
Watanzania hawajawahi kuwa na imani na utawala wa CCM ndiyo maana Serikali hii dhalim inatumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
Your browser is not able to display this video.


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sukuma gang
 
Bebaneni na gwajiboy mkamfufue huyo mungu wenu, tumewachoka nyie wapuuzi
 
Pole kama hili umeanza kuliona Leo, shida no kuwa unapokuwa mwimba pambio unageuka kipofu pamoja na ukiziwi juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…