Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa watanzania wooteKwa wakazi wa Masaki labda sie wa uswazi ukipita vijiweni utaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa watanzania wooteKwa wakazi wa Masaki labda sie wa uswazi ukipita vijiweni utaelewa
Upo sahihi sana kwa 100%Sukuma gang
Haijawahi kutokeaLini Watz walikua na imani na Serikali ya ccm
Hiyo ndiyo kazi na wajibu wa ccmwatu walijua ataiponya nchi kumbe ndo anaiteketeza kabisa
Umempa kazi size yake huyo sukuma gangKatembee jangwani kama kina Musa nawe ushushiwe manemane.
Wewe ni sukuma gangJikite kwenye hoja ,ID ya nini?, pathetic!
Hao ndiyo tunawaita chawakilichofanyika ni kutengeneza kikundi cha propaganda za kusifu tu hata kwa vitu visivyo na maana
Wanazidi kutuharibia siku kila siku story hizo hizo na hawataki kukubali maamuzi ya mwisho ya mwenyezi MunguBebaneni na gwajiboy mkamfufue huyo mungu wenu, tumewachoka nyie wapuuzi
Mimi napendekeza alazimishwe apende asipende awe wa maisha tuHama nchi,au kagalegale kwenye kaburi la mungu wenu afufuke,
Samia hadi 2060,
Wanatamani afufukeWanazidi kutuharibia siku kila siku story hizo hizo na hawataki kukubali maamuzi ya mwisho ya mwenyezi Mungu
Haji hata anafanya ninihata mie simuelewi huyu mama, namuona ni JK amerudi kivingine!
bora dikteta!.
Madam pwani hakuna viroba na akaunti za watu benki zipo salama inatosha.Bibi ushungi hana mvuto
Tuna taka meandered ya keeling na Simon maigizoMadam pwani hakuna viroba na akaunti za watu benki zipo salama inatosha.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Imekutoka wewe tu na kipara kipya
kuna siku watakimbia nchi hawa watu.Hiyo ndiyo kazi na wajibu wa ccm
Wananchi wakisikia kuna Tril 1.3 zimekopwa kwa ajili ya kuchochea mdororo wa uchumi ulioletwa na Uviko -19, wanahisi kupigwa tu. Wanajua kuna kizingumkuti namna zitavyotumika.
Umeme umekuwa ni tatizo la kukatika katika kila mara, wanahisi, kuna mchongo wa kupigwa kama walivypopigwa huko nyuma kupitia Escrow na Richmond
Teuzi za mawaziri zikifanyika, wanajua kuna safu ya mawaziri inapangwa ili kulikamua taifa, maana wanaoteuliwa wananukia ufisadi.
Waziri mwenye dhamana ya Biashara anakanusha hadharani kuwa hakuna mkataba au maelewano juu ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ili hali uzinduzi wa ujenzi ulifanyika.
Ni muda mfupi sana serikali iliyopo madarakani imepoteza imani kwa wananchi.
kiujumla wananchi hawajawahi kuwa na imani na serikali ya chama cha mapinduzi msitake kumwangushia jumba bovu huyu mama ili ionekane huyu mwendazake kafanya cha maana