inategemea na tamthilia mkuu. mm nafuatilia kwa sasa Paris has fallen na From season 3 hatari...Habari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Mkuu ungekua unatuwekea na salio azam tvHabari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Mwanaume anatakiwa kuangalia jinsi Hamas na Hizbollah wanavyompiga Mande Israel au Putin anavyo wabinya kende wanamgambo wa UkraineHabari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
Tatizo ni ujinga tu, hata maana ya tamthiliya hujui.Hakika ndugu. Wanaume tumeumbwa kukabiliana na mikiki mikiki lakini tamthilia naona zinawafanya watu kuwa soft hivi
Waacheni watu waishi wanavyotaka.Muda mwingine unaweza kujifanya una misimamo kumbe ni misimamo ya kijinga.. Sasa mtoto wa kiume unaangalia tamthilia nzima imejaa maudhui ya mapenzi, mwanaume ni kitu gani haukijui kuhusu mapenzi na mahusiano. Harafu kwanini unaruhusu mwanao ambaye ni chini ya miaka 18 ajihusishe na hizo tamthilia.
Eti dume zima linafuatilia sijui "golden boy" hiyo kweli haijakaa poaHakika ndugu. Wanaume tumeumbwa kukabiliana na mikiki mikiki lakini tamthilia naona zinawafanya watu kuwa soft hivi
Series siyo Tamthilia, kinacho zungumziwa hapa ni "Drama" or"TV Darama" au "TV Play" ingawa vina seriesNaangalia series, ingawa siku hiI muda umekuwa mdogo,
Hizi za wafilipino, waturuki zimenipita kuhoto kabisa
Unaweza tu kutoa maoni yako na yakaheshimiwa pasi na kutoa lugha chafu.....hapa ni jukwani tu kila mmoja ana maoni na mtazamo wakeTatizo ni ujinga tu, hata maana ya tamthiliya hujui.
Hujui kwamba inawezekana ikawepo tamthiliya ya vita.
Na hiyo masculinity mnayoisema ukiichunguza sana ni mnajimwambafy kijinga kimfumodume tu.
Unataka kuwekewa salio....??Mkuu ungekua unatuwekea na salio azam tv
Vizuri ndugu.....sema kuna baadhi zimekaa kike kike sanainategemea na tamthilia mkuu. mm nafuatilia kwa sasa Paris has fallen na From season 3 hatari...
Asante kwa kuniweka sawa mkuuSasa mwanaume utagombaniaje remote na wanawake wakati wote mnapenda kitu kimoja,ebu rekebisha hapo
Hapa kwangu hata remote hatujui ipo wapi muda wote king'amuzi kipo azam two