Mara ya kwanza na ya mwisho kucheki series ilikiwa prison Break - hata hiyo nilirecord yote kisha nikaingalia mfululizo kwa siku nne.Kwanza mwanaume unaanzaje kuangalia TV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya kwanza na ya mwisho kucheki series ilikiwa prison Break - hata hiyo nilirecord yote kisha nikaingalia mfululizo kwa siku nne.Kwanza mwanaume unaanzaje kuangalia TV
Bora niangalie katuni kuliko tamthilia za bongo na vichekesho vya kinajoti vyenye kuamasisha uchoko wa mwanaume kujigeuza mwanamkeUkweli mtupu, kuna vitu vipo kike kike Sana! Tamthilia za kiswahili,za kutafsiri za Azam, comedies za kina joti, na upuuzi mwingine,
Mwanaume fatilia siasa, uchumi, au, movie za kibabe, Den of thieves, Night has fallen!
Nazipenda kweliMimi hadi katuni naangalia na sijali.
Huo muda unaupata wapi mkuu.Duh!! Mkuu hata kuangalia TV kwako mwiko.....😀
Kweli uko bize sana....mimi labda mipira na taarifa za habari kwa uchacheHuo muda unaupata wapi mkuu.
Sio ubize pekee pia its just a matter of priorities.Kweli uko bize sana....mimi labda mipira na taarifa za habari kwa uchache
Raha ya family penda anachopenda mke wako na yeye apende unachopenda. Akiwa anapenda tamthlia na wewe umekaa naye unampa support mnafurahi pamoja ni kitu kizuri sana na yeye akiona unatizama mpira akakaa na wewe na kukuchemsha na ushabiki ni kitu kizuri sana. Haya ndio mapenzi vitu vidogo lakini vinajenga vitu vikubwa.Na kweli naishi maisha yangu mkuu....lakini hili ni jukwaa huru kutoa maoni na mtazamo
Mwanaume anafuatilia tamthilia ya Huba
NImeipenda hii mzee wa hovyoKweli Wanaume wa DSM tunaonewa
~Tunapigwa vita kula Chipsi
~Tumepigwa vita kuoshwa miguu na Kucha tukienda Saluni
~Sasa hadi Kuangalia Tamthiliya tumeanza kukatazwa
Kwani hatuwezi kumlipa Kibatala atutetee 😜🙌
Judgemental behaviourHabari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.
naangalia sana pia, ni wanaume wamekaa wakatengeneza vitu kama hizo hazina uhusiano wowote na uanaume wa mtu.Mimi hadi katuni naangalia na sijali.
Baadhi ya watu wanaweka masharti kwenye uanaume yasiyo na kichwa wala miguu.hapo sasa mnataka kuzidi......hebu toeni sasa kitabu ambacho kitaonyesha mwanaume aweje, maana imekuwa tabu sasa. tunakoelekea mtasema mwanaume hatakiwi kuvaa nguo😀😀😀
Mimi Tamthilia sitizami, ila Movie natizama.Habari za muda huu waungwana.
Hili jambo limekuwa likitatizo sana fikra zangu kila nikiona mtoto wa kiume ameketi na kufuatilia tamthilia moja kwa moja na kila episode huwa namuwazia vibaya sana.
Mimi naona kama vile hili jambo halipo ki-musculine hivi. Kwa mwanaume limekaa sana kidada na kimama mama hivi.
Hebu fikria Baba wa familia unagombea rimoti na watoto au mkeo kwa ajili ya tamthilia.
Mimi naona kama haijakaa sawa. Sijui nyinyi wenzangu maana kila mtu na mtazamo wake.