MTAZAMO: Makonda kuchukua jukumu la Majaliwa, Dotto Biteko, ndani kwafuka!

Kumbe ni mtizamo basi endelea kutizama 🤪🤪
 
Hahahahahahaaaa!
Mapimbi mna kazi sana. Mama Samia hamumuwezi nyumbu nyie, amewaua bila kutumia nguvu.....bali akili tu kidogo.
 
Kwahyo umekuja hapa kumshambulia makonda?[emoji706][emoji706]
 
Wivu tu.
 
Hahahahahahaaaa!
Mapimbi mna kazi sana. Mama Samia hamumuwezi nyumbu nyie, amewaua bila kutumia nguvu.....bali akili tu kidogo.
Mama Samia anavaa gwanda mikutanoni?

Au pamoja na kutojua kusoma, lkn picha pia hauzioni?
 

Attachments

  • 1699886527898.jpg
    66.4 KB · Views: 1
  • images (4).jpeg
    53.4 KB · Views: 2
Hiyo poicha inahusiana nini na Makonda? Au ndipo upeo wako ulipoishia?
 
Makonda hakutumbuliwa, rekebisha kwanza hapo!!
 
Sasa wewe kapuku nikuulize,shida ya huyo mzee aliitatua hapo jukwaani?,au alimsikiliza tu na kulibeba?,ulitaka atoe jibu unalofikiria kichwani mwako?

Wewe ni HOPELESS
 
Kuna Mbunge mmoja mwaka jana akiwa Bungeni wakati anatoa mchango wake kwenye Bunge la budget alikataa Watanganyika kuitwa wanyonge au mzee wa legacy za wafu ilikupita hii?
 
Mwacheni pacemaker achape KAZI!

We huoni mama Hana mvuto wa kufanya kazi kama ya makonda!

Mama Hana mvuto wa kutatua kero papi kwa papi,yeye aliamini wateule wake watatua kero za wananchi matokeo yake wake spin urais wake usiwe na mvuto!!

Kwa sasa watz tumesahau dp world makonda ndio habari ya mjini!!

Mwacheni makonda afanye kazi kama "Naibu Rais wa jamuhuri ya muungano wa tz"!!

KAZI iendelee!
 
Duh !!
 
DP hatuna shida nao, sasa tunataka tuwape na TANESCO.
 
Kuna Mbunge mmoja mwaka jana akiwa Bungeni wakati anatoa mchango wake kwenye Bunge la budget alikataa Watanganyika kuitwa wanyonge au mzee wa legacy za wafu ilikupita hii?
Kuitwa mnyonge haina maana ndio mnyonge kweli na pia unaweza usiitwe mnyonge na ukawa mnyonge tu, so whatever the case circle ni ileile.
 


Uko sahihi, mleta mada apunguze mihemko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…