Africa hakuna wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watawala wapo kwa sababu yao,sio wewe mtanzania juzi tuliambiwa kipimo ni fake,leo msemaji wa serikali anasema hakuna vifo Wala maambukizi huku wakificha idadi ya wagonjwa lakini mtu kutoka mafichoni anasema hali ni nzuri ,yaani ni shida juu shida
Wewe umezika wangapi?
 
Mkuu unajua kucheza na lugha. Werevu amekuelewa. Corona sio tishio haps Tz. Imeua watu 16 tu nchi nzima ndio maana maisha yamerudi kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi kama Kenya tumuamrisha Mpaka wa Tz ufungwe juu hatutaki kutangamana na wajinga watuletee maradhi. .. atangaye sana na mjinga ujingaa. Kaa kwenu
 
Kwahiyo na ule uzi wako wa update za corona umechangia sana kueneza corona Tanzania
 
Fikiria nje ya box, critically and objectively without bias
Wenye kuelewa wameelewa. Mimi sitaandika chochote kuhusu COVID-19 kesho.
Wewe ndiyo umenifikishia ujumbe vizuri sana.

Nitakuwa ndugu msomaji tu kesho na siku kadhaa zijazo. Ujumbe muhimu na mzito sana huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…