KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Africa hakuna wazeeHivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, nani ametangaza kuwa Corona imekwisha?
Utakuwa bado upo?Ngoja akamilishe ratiba yake ya nyungu kwanza.
Hakuna sehemu iliyosongamana kama Mbagala, fanyeni utafiti muone ya Corona uko, Kama kuna athari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umezika wangapi?Watawala wapo kwa sababu yao,sio wewe mtanzania juzi tuliambiwa kipimo ni fake,leo msemaji wa serikali anasema hakuna vifo Wala maambukizi huku wakificha idadi ya wagonjwa lakini mtu kutoka mafichoni anasema hali ni nzuri ,yaani ni shida juu shida
We unaonaje as a matter of personal perception
Mkuu unajua kucheza na lugha. Werevu amekuelewa. Corona sio tishio haps Tz. Imeua watu 16 tu nchi nzima ndio maana maisha yamerudi kama kawaidaHaki ya maeneo mengi Dar yameanza kurudi kama ilivyokuwa mwezi wa 12 (Desemba) mwaka jana, watu wengi wamevua barakoa na walioweka ndoo za maji ya kuosha mikono nao wameziondoa au kama zipo hazina maji.
Biashara ya barakoa nayo Haina wateja kwa sasa baada ya watu kupata taarifa nzuri toka kwa viongozi, hapa naomba niwapongeze kwa kuimaliza Corona haraka sana kukiwa na vivo 16 tu, pongezi kwenu.
Kifo yalikuwa yanasababisha lakin in rare cases.Kwani hata zamani mafua yalikwa haya sababishi vifo?
Sawa, naona thread za Corona hakuna kabisa jukwaani, goodUPO.
Tume-import toka Madagascar......
😃😃Tangu nikiwa mdogo najua Corona ni mashine ya kufua mkonge na gari TOYOTA corona modeli ya miaka ya sitini mpaka sabini kabla ya TOYOTA Corolla na ni taji la binti mfalme.
Wenye kuelewa wameelewa. Mimi sitaandika chochote kuhusu COVID-19 kesho.Fikiria nje ya box, critically and objectively without bias