#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Kama inavofahamika Tanzania bado sana katika teknolojia hasa ukizingatia data za internet ni ghali. Hivyo nashauri kuwa serikali ikae na vituo vya televisheni ili kuweza kuendesha vipindi vya masomo ya kuanzia shule za msingi hadi sekondari kwa njia ya tv watenge muda hata masaa mawili au matatu kwa siku na hizi local channels wagawane masomo na muda tofauti wa kufundisha masomo hayo.

Kwa wanafunzi wa vyuo najua wapo advanced kidogo kwenye kujifunza through internet wanaweza kuendelea kwenye mtandao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La mwisho kila mwananchi ajifunze kuwa na akiba ya chakula ndani...
Hili Janga La CORONA Limetupa Funzo Kubwa Sana:
1.Tunahitaji Zaidi Hospitali Kuliko Makanisa.
2.Tunahitaji Zaidi Madaktari Kuliko Wachungaji
3.Madaktari Ndio Watatusaidia Kutuponya Ila Wachungaji Wanatuombea Tu.
4.Inatupasa Kuchangia Zaidi Hospitali Kuliko Makanisani.

Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unachosema ni kweli kabisa. Ukijaribu kuzunguka sehemu za starehe mida ya jioni, utadhani hakuna janga lolote! Nenda supermarkets, malls, bars, benki nk watu wanajaa kama kawa na misongamano kama yote. Jana nimeenda dispensary kumpeleka mgonjwa nimeshangaa kuanzia wadada wa mapokezi, madaktari, maabara nk hakuna hata mmoja alievaa walau mask tu na watu humo ndani wanakohoa balaa.
Daaah inasikitisha Sana, Leo maambukizi yamekuwa mengi Sana 88 kutoka 53 je Hadi jumapili itakuaje?
Mungu tu atusaidie kwa kweliii

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Unajua asilimia ngapi ya wananchi wapo vijijini?
Na hata hiyo tv kwao ni msamiati?
 
Africa serikali hazijali sana vifo vya watu na wananchi wenyewe hawajui kuwawajibisha viongozi wao utaona October bado watu wanamshobokea jiwe.
Haaaaaa Waafrika hatujitambui, na km wanaojitambua wapo wachache hivyo wanamezwa na wengi wajinga!! Wengi hawajui km uchaguzi mkuu ndo sehemu sahihi kuwawajibisha watu

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Serikali ni nani utapata jibu.
Mkuu jikinge ww utakiwa umekinga na wengine hiyo ndo serikali.
Anzia nymbani kwako utaokoa faimila ysko jirani kijiji hadi mkoa
Hiyo ndugu IPO tu kinadhalia lakini kiuhalisia Serikali Ni kundi/ taasisi fulani inayotawala watu utake usitake!!


House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Back
Top Bottom