Malkia Elizabeth huyu hapa na Corona:
Queen Elizabeth Tests Positive For COVID-19
Kwetu hizi ni siri kasema Ummy Mwanafunzi.
Queen Elizabeth Tests Positive For COVID-19
Kwetu hizi ni siri kasema Ummy Mwanafunzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JIELIMISHE kuhusu homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya CORONA aina ya COVID-19. Piga 199 au 08001100124
Eeh mola wetu, moyo wa Farao ulikuwa sawa na wa jiwe (kama jiwe lina moyo).
Ulitenda mwuujiza akatambua uwepo wako naye Farao akaruhusu busara itawale.
Kwa unyenyekevu tunakuomba hebu ukajidhihirishe wewe na uwepo wako ili mioyo ya viongozi wetu ikaione nia njema iliyopo kwetu sisi waja wako, ili hatimaye busara ikaachwe kuchukua nafasi yake.
Ni wazi kuwa taarifa sahihi zitaakisi dharura na mikakati thabiti ya kuchukua kwa wakati.
Hatuna pesa za kutosha mkuuKama ni elimu wangeanza kupewa waficha maradhi, kwa kunawa mikono na kutoshika [emoji102][emoji103] na [emoji105] dunia nzima leo tungekuwa free na Corona kama kweli hiyo ndiyo suluhu!
Mwana wa mfalme naye alipuuzia haya? Na sasa ni Malkia naye alipuuzia haya? Makamu wa Rais Bukinafaso naye alipuuzia haya?
Kwa nn hamtaki kuchukua hatua dhabiti dhidi ya corona? Nia ni kuokoa au kuangamiza?
Kwa miundo mbinu ya Tanzania kweli madaktari wataweza kuhudumia wagonjwa ma kumi kwa mamia hata angalau robo ya wale walio Italy na Spain?
Maabara yenyewe iko moja kweli serikali iko imara dhidi ya hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna pesa za kutosha mkuu
Nchi za waastarabu fighting to flatten the curve, waswahili wanaandaa mazingira ya exponential growth.
Nchi za waastarabu fighting to flatten the curve, waswahili wanaandaa mazingira ya exponential growth.