Idris Elba alipotangaza hadharani kwamba ni COVID-19 Positiv3, African Americans wenye akili sawa na zako wakawa wanasema Idris amelipwa na Wazungu ili kuwatisha black!Corona ipo kwaajili ya wazungu huko ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe
Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi
Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima...haiwezekani
Hivi sasa US wanaoongoza kufa, percent kubwa ni black... what a coincidence!!
Sasa endelea kuamini ni ugonjwa wa wazungu kama ambavyo Trump alivyokuwa anaita China Virus hadi ilipokuwa too late hivi sasa anaanza kutapata tapa wakati hapo nyuma alishatangaza kwa mbwembwe kwamba wapo tayari kwenda kuwasaidia Iran kwa sababu US ina watalaamu kibao!!!