#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Mimi huwa sipotezi muda,ngoja niende kwenye mada....Hii vita tunayopambana sasa dhidi ya Corona sio ya majimaji wakuu,Tutaangamia tusikilize maelekezo ila tutumie na Akili zetu za kuzaliwa. Wale wa majimaji walipoambiwa risasi zitageuka maji walikubali bila kuhoji nadhani matokeo yake mliyaona,sasa tumeaminishwa hapa Silaha ni lockdown- No more weapon! Hii ni hatari sana,tujaribu kutumia vichwa vyetu basi kwa hao walioweka lockdown tunafanana nao katika nyanja zipi mpaka tuwafuate na je! Imewasaidia vipi?
Tusikariri; Moyo kwanza Silaha baadae!
You 'are sounding paranoid!
Huwezi tolea mfano Vita vya Majimaji na Corona!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lockdown washaona ni ngumu na haiwezekani
Kumbuka Kuna watu asilimia kubwa wanaishi unamka asubuhi Unatafuta Hela ili unywe Chai na Mihogo ya Jero, Huku cha mchana bado hujajua kama utakipata au la
Mazingira Sasa tunavyoishi mbanano kwenye nyumba moja nyomi kibao, Choo kimoja bafu moja
Lockdown si itakuwa balaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Utaambiwa hii clip ilirekodiwa Buza,utaona vituko vya watu.
Yani mtu yupo mtaani hajawahi ona hata gari la wagonjwa lakini anakwambia watu wanakufa kama utitiri,hawa ndo wanaosababisha bangi ipigwe marufuku.
 
Spread of the Spanish Flu through Tanganyika
It is estimated that by October 1918 the virus had taken hold of both Tanganyika and parts of Zanzibar, but unlike Tanganyika, Zanzibar was quick to impose string quarantine measures. These strong quarantine measures helped Zanzibar manage the virus and stop it from spreading. Fast and precise actions saved Zanzibar in 1918. Tanganyika unfortunately did not follow in the footsteps of its neighboring Island. As the first world war was reaching its climax, the German Schutztruppe (German colonial army which comprised of over 14,000 soldiers, most of them Askaris) was being led by the infamous general Paul Emil von Lettow-Vorbeck into a foot soldier war towards the southern parts of Tanganyika. As soldiers marched to war, they ransacked and pillaged through villages for supplies, reinforcements and other vices.
 
Mimi binafsi na familia yangu tumesha yapiga sana malimao ili kujikinga na corona

Na siamini kama kuna mkazi wa hapa Dar hajawahi kula limao kwa kipindi hichi cha kupambana na corona na kama yupo ana stahili pongezi kwa jinsi alivyo na roho ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spread of the Spanish Flu through Tanganyika
It is estimated that by October 1918 the virus had taken hold of both Tanganyika and parts of Zanzibar, but unlike Tanganyika, Zanzibar was quick to impose string quarantine measures. These strong quarantine measures helped Zanzibar manage the virus and stop it from spreading. Fast and precise actions saved Zanzibar in 1918. Tanganyika unfortunately did not follow in the footsteps of its neighboring Island. As the first world war was reaching its climax, the German Schutztruppe (German colonial army which comprised of over 14,000 soldiers, most of them Askaris) was being led by the infamous general Paul Emil von Lettow-Vorbeck into a foot soldier war towards the southern parts of Tanganyika. As soldiers marched to war, they ransacked and pillaged through villages for supplies, reinforcements and other vices.
Lengo la Mjerumani ilikuwa native wafe kwa wingi ili masettler wa kijerumani waje wawa-replace
 
Binafsi sijakula limao wala sijawahi piga nyungu.

Nakula tangawizi na kunywa chai iliyoungwa nayo basi.

Ila limao hapana labda likiwa limeungwa kwenye mboga ambacho ni kitu cha kawaida.

sent using Simenzi mayai
 
Aksante Mama Tibaijuka kubutua Kombolela

Mie leo nimezurura mjini bila ya Tambala la kufunika pua na Mdomo kama afanyavyo Mwamba wetu

Baada ya kufuturu hapa natandika Limao na matangawizi mpaka yanikome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom