#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Sie tushapiga maombi mkuu...plus kujifukiza kila kitu kipo sawa...tumeishinda corona kwa ushindi wa kishindo kama alioshinda jiwe.Tujenge nchi
 
Brazil mbali hapo kenya tu mambo kama haya. Curfew
IMG_20200520_133438.jpg
IMG_20200520_133429.jpg
je wagonjwa wamepungua?
 
Hawa ndugu .. Kwa ufupi wanasema mwanzoni kama nchi hawakuheshimu wala kuzingatia tahadhari ya kuepuka maambukizi, leo hii taifa linashuhudia idadi kubwa yamaambukizi na vifo,wauguzi sekta ya afya huko ni kama sasa imezidiwa na wagonjwa! ambapo katika masaa ishirini na nne yaliyopita wameripoti idadi kubwa kabisa ya vifo vya watu 1000...hii hali inatisha sana.
Hizi Habari za kuiaga corona hapa Dar zinaleta wasiwasi kwa sasa ni vema basi tungevuta subira kwanza ni kama bado mapema kufikiria kuwa huyu adui corona keshatoweka mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga NYUNGU mkuu corona ipo ila aiui
 
Usitufananishie mambo ya brazil na Tanzania
Brazil wana Nyungu?! Umevuka hadi brazil upeo wako umeshindwa kukufikirisha kwa jirani yako Burundi?! Hii ndiyo Bwana tutakao kufa na tufe watakao pona na wapone lakini jua tu maisha lazima yaendelee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Leta ushahidi hatutaki habari za kizushi zushi kama hizi
Hawa ndugu .. Kwa ufupi wanasema mwanzoni kama nchi hawakuheshimu wala kuzingatia tahadhari ya kuepuka maambukizi, leo hii taifa linashuhudia idadi kubwa yamaambukizi na vifo,wauguzi sekta ya afya huko ni kama sasa imezidiwa na wagonjwa! ambapo katika masaa ishirini na nne yaliyopita wameripoti idadi kubwa kabisa ya vifo vya watu 1000...hii hali inatisha sana.
Hizi Habari za kuiaga corona hapa Dar zinaleta wasiwasi kwa sasa ni vema basi tungevuta subira kwanza ni kama bado mapema kufikiria kuwa huyu adui corona keshatoweka mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu hii corona imekuwepo tangu mwaka jana mwezi wa nane,kwa nini eti iue sasa hivi?

Hizi taarifa zenu zinasababisha watu wafe kwa maradhi mengine bila kupata huduma.

Fikiria unasema wahudumu wa afya wanakufa Brazil.Leo baba yako anaenda hospitali anaumwa malaria,unadhani hawataogopa hata kumpima,kumtundikia drip na kumuhudumia kwa ujumla?Matokeo yake unadhani ni nini baada ya siku tatu kama amelazwa bila tiba?

Acheni kuwa ma agent wa kuzimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu atatutetea lakini tahadhari lazima tuendelee nazo
 
Leta ushahidi hatutaki habari za kizushi zushi kama hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo yameripotiwa Maambukizi mapya ndani ya siku moja ni watu 17,408
Vifo vipya ndani Ya 24hrs watu 1,179...namba kubwa kwa siku ambayo haikuwahi kurikodiwa...
Chanzo Dw dunia yetu Leo mchana
Chanzo google Brazil Corona virus pandemic update

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari za hofu ndizo nchi haitaki kuzisikia mnaogopesha watu kuendelea na maisha yao.
 
Back
Top Bottom