Mtazamo wa Rais Samia kuhusu Mashirika ya Umma si sahihi

Sawa, je, Kwenye mkataba wa bandari uliosainiwa na Rais na kupitishwa na bunge, kuna kipengele chenye title ‘UKOMO’?
Elimu yako ni ya darasa la ngapi?, Mkataba wa bandari uliosainiwa na Waziri Mbarawa kwa niaba ya Rais Samia kule Dubai hauna kipengele cha ukomo.

Nimekueleza zaidi ya mara mbili kuwa ukomo unazaliwa baada ya kuwepo kwa mikataba ya kibiashara, hauandikwi kwenye mkataba wa IGA uliopita bungeni.
 
Hakipo?! Kumbe napoteza muda kubishana na mtu ambae hata hajausoma mkataba wenyewe?!
 
Hakipo?! Kumbe napoteza muda kubishana na mtu ambae hata hajausoma mkataba wenyewe?!
Nimekuuliza swali elimu yako ni darasa la ngapi haujanijibu.

Hakiwezi kuwepo kipengele cha ukomo, kwani ukomo unakuwepo kwenye mikataba ya kibiashara.

Mkataba wa jumla unaokwenda bungeni hauwezi kuwekwa ukomo.

Narudia zaidi ya mara tano kukupa elimu ndogo tu hiyo. Novemba mwanzoni nenda pale TPA utakuta mambo yamebadilika kabisa.
 
Kuna tetesi kuwa hoteli zilizokuwa zinamilikiwa au zina hisa za serikali huko kwenye mbuga....
Watakunywa bila shaka. Inaelekea Rostam aziz ndio mshauri mkuu na mama mwanae abdul ndio mfuatiliaji migao ya mama😂🤣🏃🏃
 
Watakunywa bila shaka. Inaelekea Rostam aziz ndio mshauri mkuu na mama mwanae abdul ndio mfuatiliaji migao ya mama😂🤣🏃🏃
hata sijui...yatarudi maana JPM lazima arudi tena kwa haya mazagazaga yanayoendelea
 
Hivi zile magawio ilikuwa inatolewa Enzi ya JPM imekuwaje nyakati hii hatuyasikii tena? Na kama walikuwa wakweli hizo pesa Sasa hivi zinaenda wapi?
Serikali bado inaendelea kuwapa hela??
Mfano wa ATC! TTCL nk!!?
Nchi ni ngumu hasa mchwa wanaendelea kuitafuna!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…