Mtazamo wangu kuhusu Mahojiano aliyofanyiwa Rais Putin

Mtazamo wangu kuhusu Mahojiano aliyofanyiwa Rais Putin

Hv unafikiri ukraine alikuwa hana hvyo vifaa alikuwa na madege ya kivita ,mitambo ya kuzuia ndege kila kitu duniani alikuwa nacho Russia mnyama mwingne brother
Ukraine jeshi alilokuwa nalo linaweza pigwa hata na Misri, utabisha. Poland na Finland haziwezi pigwa na Ukraine ile ya kabla ya vita. Sembuse kwa sasa Poland imekuza jeshi kwa fujo.

Ukraine hana hata meli moja ya kivita ndio unataka umlinganishe na Poland. Ukraine hana airlifters, hana aerial refueling capability, hana airtoopers, hana submarines. In fact hata jeshi la Algeria linaipiga Ukraine ile iliyovamiwa na Urusi.
 
US sanctions are leading to dedollarization and rise of Chinese yuan — Vladimir Putin:

🔹“The dollar is the cornerstone of US power. However, the weaponization of USD is a grave mistake. Now even US allies are getting rid of dollar in their foreign exchange reserves.

In early 2022, US dollar accounted for 50% of our transactions with other countries. Now, it’s down to 13%.

70% of our current transactions are in rubles and yuan.

Other countries are also now considering selling oil for yuan.”

Do you even realize what you’re doing? You are killing the dollar with your own hands.”
 
PUTIN ON SOURCES OF MERCENARIES IN UKRAINE

Putin: “The #1 and #2 sources of mercenaries in Ukraine are Poland and the US.

Don’t you have anything better to do? You have $34 trillion of debt and a border crisis with immigration. Why are you involved in a conflict thousands of miles away?”
 
IMG_3535.png



View: https://twitter.com/tuckercarlson/status/1755734526678925682?s=21
 
Putin: “America is run by the CIA and other agencies not the president."
False narrative!

What are those "other agencies"? That should have been a follow-up question from Tucker.

Practically and constitutionally, the US federal government comprises 3 distinct branches. The US presidency is part of the executive branch of the federal government. Therefore, the president is one of the agencies that run the country or the federal government of the United States.
 
Did he say “who” exactly are CIA?

Well, he’s damn right, the POTUS CANNOT run the US. Still, he can appoint the D/CIA and other national intelligence bosses.
Another question should have been; what are those "other agencies"?

Do those include the Executive, the Cabinet and the Department of Justice? If that is the case (which it is), then the US president is one of the agencies that run the country.
 
Urusi hawezi kuigusa Poland kwa sasa. Licha ya kuwa ni mwanachama wa NATO, Poland imeboresha jeshi na ina vifaa bora kabisa vya kijeshi. Urusi ameanza kupata wasiwasi kwa nini Poland anataka kuunda biggest army in the world. Poland ameshaota pembe, hivyo Mrusi atulie.

Russia walitaka kujiunga NATO wakakataliwa, hivyo wanaamini NATO ndio inataka kuivamia Urusi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Poland ipi 🤣🤣🤣
 
Ukraine jeshi alilokuwa nalo linaweza pigwa hata na Misri, utabisha. Poland na Finland haziwezi pigwa na Ukraine ile ya kabla ya vita. Sembuse kwa sasa Poland imekuza jeshi kwa fujo.

Ukraine hana hata meli moja ya kivita ndio unataka umlinganishe na Poland. Ukraine hana airlifters, hana aerial refueling capability, hana airtoopers, hana submarines. In fact hata jeshi la Algeria linaipiga Ukraine ile iliyovamiwa na Urusi.
🤣😀🤣 leta idadi ya majeshi bora zaidi duniani kabla ya ukraine kuvamiwa na Russia hem tuone
 
Another question should have been; what are those "other agencies"?

Do those include the Executive, the Cabinet and the Department of Justice? If that is the case (which it is), then the US president is one of the agencies that run the country.
Sawa. Nafikiri tatizo la Putin ni kushindwa kuelewa au kuamini nchi inawezaje kuendeshwa na “mfumo” badala ya kudhibitiwa na mtu mmoja ambaye ndiye Rais mwenye madaraka yote (absolute power) kama yeye na Urusi yake.

Sasa Marekani akitafuta mtu wa kupiga dili naye hampati! System inamzungusha tu. Angalau alipata matumaini wakati wa Trump ambaye sasa anaota kuwa dikteta akipata uRais mwaka huu. Wasichoelewa ni kuwa Marekani kufikia ilipo ilisukwa kwa jasho, akili na damu kiasi kwamba si rahisi kwa mtu mmoja kuivuruga nchi kama anavyofanya Putin huko Urusi.

Kingine, karibu mataifa yote makubwa duniani ikiwemo Urusi yana dau Marekani. Utajiri wa nchi zao na wao binafsi una misingi huko US. Hakuna anayetamani US ife! AMA sivyo gerentii ya thamani ya rasilimali nyingi itapotea na kutakuwa na vurugu kubwa sana katika uchumi na usalama wa Dunia.
 
Sawa. Nafikiri tatizo la Putin ni kushindwa kuelewa au kuamini nchi inawezaje kuendeshwa na “mfumo” badala ya kudhibitiwa na mtu mmoja ambaye ndiye Rais mwenye madaraka yote (absolute power) kama yeye na Urusi yake.

Sasa Marekani akitafuta mtu wa kupiga dili naye hampati! System inamzungusha tu. Angalau alipata matumaini wakati wa Trump ambaye sasa anaota kuwa dikteta akipata uRais mwaka huu. Wasichoelewa ni kuwa Marekani kufikia ilipo ilisukwa kwa jasho, akili na damu kiasi kwamba si rahisi kwa mtu mmoja kuivuruga nchi kama anavyofanya Putin huko Urusi.

Kingine, karibu mataifa yote makubwa duniani ikiwemo Urusi yana dau Marekani. Utajiri wa nchi zao na wao binafsi una misingi huko US. Hakuna anayetamani US ife! AMA sivyo gerentii ya thamani ya rasilimali nyingi itapotea na kutakuwa na vurugu kubwa sana katika uchumi na usalama wa Dunia.
Unaota. Kwamba Urusi hatamani U.S ianguke ? , Kwamba China hatamani U.S ianguke ? , Kwamba India hatamani U.S ianguke ?, Kwamba Iran hatamani U.S inaguke ?

Hayo mataifa machache niliyo kuulizia maswali unafikiri hayana mpango na hayataki kuongoza dunia ? Au unafikiri yana fikra za Kitanzania?!.
 
Unaota. Kwamba Urusi hatamani U.S ianguke ? , Kwamba China hatamani U.S ianguke ? , Kwamba India hatamani U.S ianguke ?, Kwamba Iran hatamani U.S inaguke ?

Hayo mataifa machache niliyo kuulizia maswali unafikiri hayana mpango na hayataki kuongoza dunia ? Au unafikiri yana fikra za Kitanzania?!.
Wewe ndio huelewi dunia inaendaje. Marekani sio taifa la “kikabila”; inashikiliwa na wadau na wataalamu toka dunia nzima chini ya magenius maalum. Wako Wayahudi, Warusi, Wachina, Wahindi, Waarabu, Wajapan, Waajemi, Wajerumani, Waingereza, n.k. Hakuna anayetaka wala kuweza kuiangusha.

Sana sana watu wanagombania nafasi ya kuiiongoza Marekani kama ilivyo. Si rahisi kuisuka nchi ikaendeshwa na “MFUMO” tu kama ilivyo Marekani. Kasome mikakati ya “systems” labda ndipo utaielewa Marekani. Nchi zinazoongozwa kidikteta haziwezi kuchukua nafasi ya Marekani zikaaminika kushikilia nguzo kuu za uchumi na usalama wa dunia. Itakuwa chaos from day one.

Katika hizo nchi ulizozitaja, Iran ndiyo tofauti. Wao hawana interest na maisha ya duniani. Hivyo kuanguka kwa Marekani ndiyo kuanguka kwa dunia na mwisho wake. Wao wanawaza maisha ya peponi tu. Hao ndio kweli wanataka sana anguko la Marekani. Sio hao wengine wenye hamu kubwa ya maisha mazuri hapa duniani.
 
Wewe ndio huelewi dunia inaendaje. Marekani sio taifa la “kikabila”; inashikiliwa na wadau na wataalamu toka dunia nzima chini ya magenius maalum. Wako Wayahudi, Warusi, Wachina, Wahindi, Waarabu, Wajapan, Waajemi, Wajerumani, Waingereza, n.k. Hakuna anayetaka wala kuweza kuiangusha.

Sana sana watu wanagombania nafasi ya kuiiongoza Marekani kama ilivyo. Si rahisi kuisuka nchi ikaendeshwa na “MFUMO” tu kama ilivyo Marekani. Kasome mikakati ya “systems” labda ndipo utaielewa Marekani. Nchi zinazoongozwa kidikteta haziwezi kuchukua nafasi ya Marekani zikaaminika kushikilia nguzo kuu za uchumi na usalama wa dunia. Itakuwa chaos from day one.

Katika hizo nchi ulizozitaja, Iran ndiyo tofauti. Wao hawana interest na maisha ya duniani. Hivyo kuanguka kwa Marekani ndiyo kuanguka kwa dunia na mwisho wake. Wao wanawaza maisha ya peponi tu. Hao ndio kweli wanataka sana anguko la Marekani. Sio hao wengine wenye hamu kubwa ya maisha mazuri hapa duniani.
Aisee hili ni tatizo nini sasa hiki umeandika
 
Back
Top Bottom