Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Nimeshakwambia kama Magufuli ana nia njema kwanini asiruhusu huo uchunguzi huru? nini kinachoshindikana hapo.
Tena nikakwambia, utaviamini vipi vyombo vya usalama Tz wakati Lissu akipigwa risasi ulinzi uliondolewa nyumbani kwake?
Sijaona majibu uliyotoa kuhusu hilo.
Na ujue tena kwamba, Lissu kupinga baadhi ya mambo yakiyokuwa yakiendelea Tz ulikuwa ni mtazamo wake, wajibu wenu ulikuwa ni kumjibu muonekane jambo mlilofanya mlikuwa sahihi, sio kukimbilia kumuita Lissu msaliti, huo ni uoga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu kitu kinachoeleweka nitaarifu tafadhali.