uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Lini utopolo mliwahi kuisapoti Simba??kila timu inajipambania! Uzalendo peleka taifa stars huko
Jitahidi hata ubebe viazi soko la Buguruni angalu uhame kwa shemeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini utopolo mliwahi kuisapoti Simba??kila timu inajipambania! Uzalendo peleka taifa stars huko
Sina shida na mashabiki wa Yanga kuwadhihaki mashabiki wa Simba endapo Yanga ingeshinda na ningewapongeza kwa hilo maana lingeleta changamoto kwa Simba kukazana ili na wao walete kombe!Mkuu,kama mashabiki wa Yanga waliwapania mashabiki wa Simba endapo wangechukua kombe wangewadhihaki sana,sasa hapo unataka mashabiki wa Simba waiombee mema Yanga? halafu team pinzani ndio zilivyo,huwezi kukuta shabiki wa Barcelona akaiombea mema Madrid,au shabiki wa Real madrid aiombee ushindi Barcelona,
Relax,ndio ushabiki ulivyo,Anyway Yanga imejitahidi sana,hope next time watachukua kombe.
Ninyi ni wahujumu uchumi! Mnapaswa mkamatwe na kufunguliwa kesi mara moja!Ubaya waliuanza wenyewe,kupokea wageni airport
Acheni dawa iwaingie
Mtenda hutendwa
Hapana mkuuuNinyi ni wahujumu uchumi! Mnapaswa mkamatwe na kufunguliwa kesi mara moja!
Bila shaka ndivyo! Lakini angalau kwa mechi za kimataifa wangeacha huu uchawi wao!Na yanga ndiye mchawi wa simba, au sivyo?
Wewe ni mwehu kwani jana hukapata matokeo! Au unajitoa ufahamuNaanza kwa kuipongeza timu ya Yanga kwa hatua kubwa waliyoifikia kimpira!
Japo hawakushinda kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa na CAF binafsi naamini Yanga ndiye bingwa wa michuano ya CAFCC 2023. Wamecheza soka safi na la kisomi, hongera kwako Nabi na timu yako ya benchi la ufundi, uongozi wa Yanga na mashabiki wote wa Yanga!
Binafsi naamini kushindwa kwa Yanga kuleta kombe nyumbani ni kutokana na stile ya ushabiki wa mpira hapa nchini almaarufu Kama utani wa jadi unaofanywa na Simba na Yanga! Nafikiri umefikia pabaya na kama serikali haitaingilia kati sioni tukifanikiwa kimichezo! Aina hii ya ushabiki imehusisha mpaka wivu wa "kike", uchawi na inaua uzalendo wetu! Hapana lazima viongozi ngazi ya taifa waingilie kati!
Kama si Simba kuisaidia USM kwa namna ilivyoisaidia (sina ushahidi, ni mawazo yangu) hakuna namna yoyote USM angesinda mechi ya fainali ya kwanza iliyochezwa Dar achilia mbali kuchukua kombe hili!
Nilipokuwa natazama mechi ya mchezo wa fainali ya kwanza iliyochezwa Dar es Salaam, mashabiki wa Simba walifurahi kuliko hata USM wenyewe Yanga walipofungwa goli la kwanza! Lakini Kama haitoshi, mashabiki hao hao wa Simba waliumia kiasi cha kutokwa machozi pale Yanga ilipofunga goli na huwezi amini walifurahi furaha kuu ajabu pale USM walipofunga goli la pili! Haipaswi kuwa hivi! Chonde sana serikali, ingilieni kati suala hili!
Natamani sana kuona michezo ikileta na kukuza umoja, uzalendo, amani, upendo, furaha nk.
Tusipoangalia, tutashindwa kuishangilia timu yetu ya taifa vizuri kwa kuwa tu mfungaji ni wa Simba au Yanga!
Ni jambo la kushangaza watu wa Kenya, Rwanda na mataifa ya jirani walikuwa wakiishangilia Yanga jana kwa kigezo cha timu yetu inayoiwakilisha Afrika Mashariki eti kuna mitanzania ilikuwa inaiombea mabaya!!! Huu ni ushabiki wa kilofa!
Nimemaliza!
Mfungwe Yanga,muilaumu Simba...pumbav kabisaNaanza kwa kuipongeza timu ya Yanga kwa hatua kubwa waliyoifikia kimpira!
Japo hawakushinda kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa na CAF binafsi naamini Yanga ndiye bingwa wa michuano ya CAFCC 2023. Wamecheza soka safi na la kisomi, hongera kwako Nabi na timu yako ya benchi la ufundi, uongozi wa Yanga na mashabiki wote wa Yanga!
Binafsi naamini kushindwa kwa Yanga kuleta kombe nyumbani ni kutokana na stile ya ushabiki wa mpira hapa nchini almaarufu Kama utani wa jadi unaofanywa na Simba na Yanga! Nafikiri umefikia pabaya na kama serikali haitaingilia kati sioni tukifanikiwa kimichezo! Aina hii ya ushabiki imehusisha mpaka wivu wa "kike", uchawi na inaua uzalendo wetu! Hapana lazima viongozi ngazi ya taifa waingilie kati!
Kama si Simba kuisaidia USM kwa namna ilivyoisaidia (sina ushahidi, ni mawazo yangu) hakuna namna yoyote USM angesinda mechi ya fainali ya kwanza iliyochezwa Dar achilia mbali kuchukua kombe hili!
Nilipokuwa natazama mechi ya mchezo wa fainali ya kwanza iliyochezwa Dar es Salaam, mashabiki wa Simba walifurahi kuliko hata USM wenyewe Yanga walipofungwa goli la kwanza! Lakini Kama haitoshi, mashabiki hao hao wa Simba waliumia kiasi cha kutokwa machozi pale Yanga ilipofunga goli na huwezi amini walifurahi furaha kuu ajabu pale USM walipofunga goli la pili! Haipaswi kuwa hivi! Chonde sana serikali, ingilieni kati suala hili!
Natamani sana kuona michezo ikileta na kukuza umoja, uzalendo, amani, upendo, furaha nk.
Tusipoangalia, tutashindwa kuishangilia timu yetu ya taifa vizuri kwa kuwa tu mfungaji ni wa Simba au Yanga!
Ni jambo la kushangaza watu wa Kenya, Rwanda na mataifa ya jirani walikuwa wakiishangilia Yanga jana kwa kigezo cha timu yetu inayoiwakilisha Afrika Mashariki eti kuna mitanzania ilikuwa inaiombea mabaya!!! Huu ni ushabiki wa kilofa!
Nimemaliza!
Umesoma nilichoongea au umejisikia kujibu chochote tu?Wewe ni mwehu kwani jana hukapata matokeo! Au unajitoa ufahamu
Haipaswi kuwa mtani! Tufanyiane yote mechi za ndani lakini kimataifa tuwe wamoja!Tena nimeumia sn vyura kushinda 1 jana,anyway hii ndo maana halisi ya kufa kiume sasa.
Hongereni kombe mmebeba
Mwakani tunachukua! Tumejifunza mengi na tunajipanga na mbinu mpya!Huu ulikuwa mwaka wa Yanga kuupata ubingwa huu ila ndo hivo imeisha hiyo na bahati haiji mara mbili.Inaweza kutuchukua miaka mingi kufikia hatua hii.Fikiria tangu 1993 ndo kidogo watz tumeonja tena fainali.
Ni kweli kabisa! Lakini huu wa kuuza mbinu za mtani kwa adui siyo! Huu wa kutumia uchawi ili mtani asishinde, huu siyo kabisa!Utani unasaidia kuiongezea TIMU NZIMA kujituma maana wanajua watachekwa Kwa kebehi wanapopoteza mechi....
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app