Mtazamo wangu: Yanga ndiye bingwa wa CAFCC 2023

Mtazamo wangu: Yanga ndiye bingwa wa CAFCC 2023

Nilidhani utazungumzia kuhusu zile fitna za mashabiki wa USM Alger za kufyatua fataki na kusababisha moshi mzito uwanjani hadi mchezo kusimamishwa mara mbili ambayo ilichangia kwa kiasi kikubwa kuwapunguza kasi wachezaji wa Yanga
 
Sina shida na mashabiki wa Yanga kuwadhihaki mashabiki wa Simba endapo Yanga ingeshinda na ningewapongeza kwa hilo maana lingeleta changamoto kwa Simba kukazana ili na wao walete kombe!

Binafsi kama ningekuwa rais wa nchi hii ningewasweka rumande wote wanaoshabikia timu pinzani kwenye mechi za kimataifa! Haiwezekani wimbo wa taifa uimbwe kabla ya mechi halafu litokee dude fulani jinga kusapoti timu pinzani! Kwangu huo ungekuwa uhujumu uchumi!

Wimbo wa taifa huimbwa katika mazingira machache muhimu kama vile rais anapotaka kuhutubia taifa na timu za mpira zinaposhiriki mechi za kimataifa! Bila shaka, kwa wakati ule, wachezaji wanaliwakilisha taifa! Wapo kwa niaba ya wananchi na kwa niaba mh rais! Kushindwa ni kumuaibisha rais na ni kuliaibisha taifa! Kama ningekukuta unashabikia rais kuaibishwa lazima ungetafuta nchi ya kwenda!
Wawapi wewe? Umesikia wimbo wa taifa ukiimbwa pale? Caf walishafuta wimbo wa taifa kwa ngazi ya klabu miaka 20 iliyopita
 
Sina shida na mashabiki wa Yanga kuwadhihaki mashabiki wa Simba endapo Yanga ingeshinda na ningewapongeza kwa hilo maana lingeleta changamoto kwa Simba kukazana ili na wao walete kombe!

Binafsi kama ningekuwa rais wa nchi hii ningewasweka rumande wote wanaoshabikia timu pinzani kwenye mechi za kimataifa! Haiwezekani wimbo wa taifa uimbwe kabla ya mechi halafu litokee dude fulani jinga kusapoti timu pinzani! Kwangu huo ungekuwa uhujumu uchumi!

Wimbo wa taifa huimbwa katika mazingira machache muhimu kama vile rais anapotaka kuhutubia taifa na timu za mpira zinaposhiriki mechi za kimataifa! Bila shaka, kwa wakati ule, wachezaji wanaliwakilisha taifa! Wapo kwa niaba ya wananchi na kwa niaba mh rais! Kushindwa ni kumuaibisha rais na ni kuliaibisha taifa! Kama ningekukuta unashabikia rais kuaibishwa lazima ungetafuta nchi ya kwenda!
Wimbo wa taifa hauimbwi ngazi ya vilabu mkuu , unaimbwa kwa timu za taifa.
 
Kwa hiyo sisi tuamini hisia zako au tuwaamini CAF?

Yaani tuwe wazalendo wakati ka premature kama ali kamwe amesema uzalendo ni kwa taifa stars?

JItahidi kaa karibu na wale watu wawili pale utopoloni
Yaani wale PWAGU na PWAGUZI
 
Hoja kosea mtoa mada.

Mimi ni mshabiki wa Simba lkn kwakweli Yanga wametujishimisha sana kimataifa.

Simba mnajambo la kujifunza.
 
Mkuu,kama mashabiki wa Yanga waliwapania mashabiki wa Simba endapo wangechukua kombe wangewadhihaki sana,sasa hapo unataka mashabiki wa Simba waiombee mema Yanga?

Halafu team pinzani ndio zilivyo, huwezi kukuta shabiki wa Barcelona akaiombea mema Madrid au shabiki wa Real madrid aiombee ushindi Barcelona.

Relax, ndio ushabiki ulivyo, Anyway Yanga imejitahidi sana, hope next time watachukua kombe.
Labda kikombe cha togwa.
 
1900fc73-440f-4c99-9f3c-d7b53724b4ad.jpg
 
Any traumatic event is inafuatwa na;

denial
anger
bargaining
depression and
acceptance


Bado upo stage one.
 
Back
Top Bottom