Mtazamo wangu: Yanga ndiye bingwa wa CAFCC 2023

Mtazamo wangu: Yanga ndiye bingwa wa CAFCC 2023

Always observe the rules.. kwani hamkujua chenye goli la ugenini hufanya?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali iingilie kati kufanyaje yahn mbona unasema vitu ambavyo havipo utopwax kuweni wapole tu bado hamjatufikia kufa kiume.
 
IMG_20230604_094546.png
 
Naanza kwa kuipongeza timu ya Yanga kwa hatua kubwa waliyoifikia kimpira!

View attachment 2645466

Japo hawakushinda kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa na CAF binafsi naamini Yanga ndiye bingwa wa michuano ya CAFCC 2023. Wamecheza soka safi na la kisomi, hongera kwako Nabi na timu yako ya benchi la ufundi, uongozi wa Yanga na mashabiki wote wa Yanga!

Binafsi naamini kushindwa kwa Yanga kuleta kombe nyumbani ni kutokana na stile ya ushabiki wa mpira hapa nchini almaarufu Kama utani wa jadi unaofanywa na Simba na Yanga! Nafikiri umefikia pabaya na kama serikali haitaingilia kati sioni tukifanikiwa kimichezo! Aina hii ya ushabiki imehusisha mpaka wivu wa "kike", uchawi na inaua uzalendo wetu! Hapana lazima viongozi ngazi ya taifa waingilie kati!

Kama si Simba kuisaidia USM kwa namna ilivyoisaidia (sina ushahidi, ni mawazo yangu) hakuna namna yoyote USM angesinda mechi ya fainali ya kwanza iliyochezwa Dar achilia mbali kuchukua kombe hili!

Nilipokuwa natazama mechi ya mchezo wa fainali ya kwanza iliyochezwa Dar es Salaam, mashabiki wa Simba walifurahi kuliko hata USM wenyewe Yanga walipofungwa goli la kwanza! Lakini Kama haitoshi, mashabiki hao hao wa Simba waliumia kiasi cha kutokwa machozi pale Yanga ilipofunga goli na huwezi amini walifurahi furaha kuu ajabu pale USM walipofunga goli la pili! Haipaswi kuwa hivi! Chonde sana serikali, ingilieni kati suala hili!

Natamani sana kuona michezo ikileta na kukuza umoja, uzalendo, amani, upendo, furaha nk.

Tusipoangalia, tutashindwa kuishangilia timu yetu ya taifa vizuri kwa kuwa tu mfungaji ni wa Simba au Yanga!

Ni jambo la kushangaza watu wa Kenya, Rwanda na mataifa ya jirani walikuwa wakiishangilia Yanga jana kwa kigezo cha timu yetu inayoiwakilisha Afrika Mashariki eti kuna mitanzania ilikuwa inaiombea mabaya!!! Huu ni ushabiki wa kilofa!

Nimemaliza!
Bingwa wa CAFCC ni USM Alger, siyo Yanga.
Kuhusu Simba au Yanga kusaidia wapinzani wa mwenzake hiyo ndiyo aina ya soka letu, siyo lazima kufanana na wengine.

Lazima Afrika na Dunia vitambue kuwa katika style ya soka la Tanzania ni tofauti nchi yoyote ile, kwani ukienda kucheza na Simba au Yanga nchini Tanzania basi utakaribishwa na kupewa mashabiki bure kabisa.
That's our style na inabidi iwe promote duniani kote.
 
Bingwa wa CAFCC ni USM Alger, siyo Yanga.
Kuhusu Simba au Yanga kusaidia wapinzani wa mwenzake hiyo ndiyo aina ya soka letu, siyo lazima kufanana na wengine.

Lazima Afrika na Dunia vitambue kuwa katika style ya soka la Tanzania ni tofauti nchi yoyote ile, kwani ukienda kucheza na Simba au Yanga nchini Tanzania basi utakaribishwa na kupewa mashabiki bure kabisa.
That's our style na inabidi iwe promote duniani kote.
Style ya hovyo kabisa ndiyo maana rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi aliwahi kulifananisha soka la Tanzania na kichwa cha mwendawazimu! Ni ujuha mtupu!

Ufike wakati tuwe wazalendo na nchi yetu! Tuipende na kuithamini! Nasikia wenzetu nchi ya jirani Rwanda mwanamke haruhusiwi kuzaa na mijitu ya nchi nyingine! Unaweza kuoa lakini utaishia kufanya naye yote ila suala la uzazi ni atazaa na mwanaume wa Rwanda na si vinginevyo! Utaagwa tu anaenda kusalimia kumbe kaenda kutafuta mimba! Sina hakika katika hili! Linaweza kuwa limekaa vibaya lakini ni bora yao wanakauzalendo na nchi yao! Unawezaje kuuza mbinu za mtani wako kwa adui?
 
-Huu utani wa Simba na yanga sasa umegeuka chuki za wazi wazi hakuna utani tena hapo.

-Waanzilishi wa hizo tabia ni yanga wenyewe Simba wanafanya kumalizia Tena kwa kiwango kidogo sana
-mimi Kila mara nalia na viongozi wa nchi hii, kama watanzania tunashida kubwa ya viongozi wetu kutokua na macho ya kuona mbele, kitendo Cha kuruhusu mashabiki na viongozi wa yanga kwenda kuwapokea wageni/ washindani wa Simba airport wakati Simba inawakilisha nchi ilikua ni step kubwa sana ya kutengeneza chuki na kuzalisha uhasama.

Kwa viongozi wenye maono walipaswa kukemea tabia hiyo mara Moja.

-Mashabiki wa yanga kujazana uwanjani na kuwashangilia wageni.
-Raisi wa yanga kuwasapoti washindani wa Simba kwa kuvaa jezi zao na kuwapa mbinu za kuwafunga Simba.
 
Style ya hovyo kabisa ndiyo maana rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi aliwahi kulifananisha soka la Tanzania na kichwa cha mwendawazimu! Ni ujuha mtupu!

Ufike wakati tuwe wazalendo na nchi yetu! Tuipende na kuithamini! Nasikia wenzetu nchi ya jirani Rwanda mwanamke haruhusiwi kuzaa na mijitu ya nchi nyingine! Unaweza kuoa lakini utaishia kufanya naye yote ila suala la uzazi ni atazaa na mwanaume wa Rwanda na si vinginevyo! Utaagwa tu anaenda kusalimia kumbe kaenda kutafuta mimba! Sina hakika katika hili! Linaweza kuwa limekaa vibaya lakini ni bora yao wanakauzalendo na nchi yao! Unawezaje kuuza mbinu za mtani wako kwa adui?
Sasa kitu anaongea Mwinyi wewe ndiyo unakiweka akilini na kukifanyia marejeo ngamani?
Kiongozi wa nchi ndiye kichwa cha nchi, kama alisema Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu maana yake kichwa hicho ni yeye na kwa mambo yalivyoenda kwenye utawala wake ni hakika alikua ni mwendawazimu kweli wala hakukosea.
 
Hakuna mtu anaweza kujengea mtu uzalengo duniani, uzalendo ni tunda la haki na fairness, Ni ujinga sana kitu simba wamefanya, ila wametumia uhuru wao.

Nina over 50 years, mpaka hapa nilipo sijawahi kuona mzalendo kweli wa hii ncbi, Lissu na Mbowe are trying, ila bado, neno uzalendo linatumika vibaya na sio kwa maana halisi.
Wala sio ujinga labda tu utakuwa umesahau historia.

Kuna kipindi fulani wakati Manara yupo Simba aliwahi kusema tujitokeze kuishangilia Yanga kwenye michuano ya kimataifa

Siku ile kweli watu wakajitokeza.

Yanga ilivyoshinda ile mechi wakaanza kututukana watu tuliokuwa nao pamoja kuwasapoti.

Kile kitendo kilituuma wengi.

Lakini kumbuka huyu Raisi wao wa Club aliwahi kuvaa jezi ya Kaizer Chief kwa ishara ya kuwasapoti kipindi wanacheza na Simba.

So unaniambiaje swala la uzalendo kwenye ishu yako kama ishu yangu ulikuwa upande wa mpinzani wangu?

Na bado yani hiki tulichokifanya ni robo ya kile ambacho tutazidi kukifanya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya tuoneshe picha ukiwa na hilo kombe
 
Haya tuoneshe picha ukiwa na hilo kombe
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo! Hebu rudia tena kusoma Ikibidi hata mara kumi labda unaweza kuelewa nilichoandika! Pole
 
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo! Hebu rudia tena kusoma Ikibidi hata mara kumi labda unaweza kuelewa nilichoandika! Pole
Acha maneno mengi, tuoneshe kombe, hizo zingine ni hadithi zisizo na msingi
 
Khaaa mimi siwezi kushabikia timu ya simba abadani.
Yani kabisa nianze kushabikia uchawi??
Mimi mkristo broo
 
KARMA ipo and is real mbwa nyie yooote mliyowafanyia SIMBA SC Mpaka kufikia kwenda kupokea timu Pinzani Airport kwa maturumbeta, Mpaka kuwapa mabasi mpaka kuitisha Press Conference mkawaamboa waje na Maji yao, wasitumie vyumba vya nguo, nk nk mpaka CAF ikaleta wachunguzi mechi sa Simba kisa Uongo uongo wenu. Hatimaye yamewarudi! Hamtakaa mfanikiwe kamweeee.

Halafu vile inawaumaa kukosa KOMBE KWA FAIDA YA GOLI LA UGENINI ndivyo hivyo hivyo inawauma Watanzania KATIBA ILICHOWAFANYA BAADA YA MSIBA WA JPM pambaneni na hali yenu Kima nyie!
Kwanza anza tu kufikiria ile siku zinapangwa draw za hatua ya robo fainali

Kila Gongowazi aliyeoona Simba kapangwa na Wydad alifurahi huku kila mmoja akija na namba zake zinazoonesha idadi ya magoli atayofungwa.

Cc Dr Matola PhD

Screenshot_20230604-102911.png

Mr Devil

Screenshot_20230604-103543.png

mwarabu feki
Screenshot_20230604-103856.png

Ituzaingo Argentina
Screenshot_20230604-103922.png

babu onyango
Screenshot_20230604-103943.png

Wakipekee
Screenshot_20230604-104030.png

Evelyn Salt
Screenshot_20230604-104047.png

adriz
Screenshot_20230604-104121.png

Half american
Screenshot_20230604-104137.png

adriz
Screenshot_20230604-104212.png

Shadeeya
Screenshot_20230604-104323.png

BUSH BIN LADEN
Screenshot_20230604-104349.png

adriz
Screenshot_20230604-104444.png

Ituzaingo Argentina
Screenshot_20230604-104524.png

Ituzaingo Argentina
Screenshot_20230604-104603.png

bhachu
Screenshot_20230604-104640.png

Prince Kunta
Screenshot_20230604-104707.png

adriz
Screenshot_20230604-104738.png

Ngalikihinja
Screenshot_20230604-104821.png

Ngalikihinja
Screenshot_20230604-104900.png

Kama haitoshi hili swala lilienda hadi ngazi za juu kwa viongozi wa Yanga, nao walikuwa wanafurahia kuona Simba kapangwa na Wydad na wakisema biashara yao imeishia hapo.

Leo hii watu hawa wanataka kusema nini kuhusu uzalendo??

Muwe tu wa kweli eti nyie Gongowazi leo hii mnaweza kutulaumu sisi kushangilia timu yetu ya USM ALGER??
 
Japo hawakushinda kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa na CAF binafsi naamini Yanga ndiye bingwa wa michuano ya CAFCC 2023. Wamecheza soka safi na la kisomi, hongera kwako Nabi na timu yako ya benchi la ufundi, uongozi wa Yanga na mashabiki wote wa Yanga!
........
 

Attachments

  • ...Ah!....jpg
    ...Ah!....jpg
    26.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom